habari waheshimiwa.naomba msaada wenye uzoefu na haya mambo.kuna jamaa yangu alimuona muuzaji ktk site ya Nifahamishe uza na nunua.ana uza mobile phones location hungury ila contacts zake za uk.wakafanya communication then payment zikafanyika kupitia western union kwenda hungury.pindi wanawasiliana nae alikuwa ana2mia namba ya nigeria.baada kama ya siku mbili akasema aongeze hela kama usd 1500 coz ameongeza idadi za simu eti alimuambia na akakubali ila muhusika hakumbuki kama alimtarifu kabla.basi malipo ya mara ya pili akasema am2mie nigeria badala ya hungury.na akasema pindi tu malipo ya mara ya pili yakikamilika atapata mzigo wake ambayo ni tarehe 30 dec 2013.cha ajabu mpaka leo hajapata chochote,ame2mia usafirishaji wa broadline 247.na ukiweka track number inasema bado ipo julius nyerere airpot mpaka sasa.yeye kajaribu kuwasiliana nao wote muuzaji na shipper (broadline 247) kuanzia asubuhi mpaka jioni ndo wakasema mpaka ifike mwanza lazima ilipwe dola kama 970 kama custom duty ndio ita2mwa mza tena i2mwe hungury kupitia western union halaf wao broadline ndio watalipa custom,sasa mimi na muhusika 2mepata wasiwasi 2talipaje ushuru hata mzgo ha2jaona?je ipo sawa hio au ndio matapeli?
habari waheshimiwa.naomba msaada wenye uzoefu na haya mambo.kuna jamaa yangu alimuona muuzaji ktk site ya Nifahamishe uza na nunua.ana uza mobile phones location hungury ila contacts zake za uk.wakafanya communication then payment zikafanyika kupitia western union kwenda hungury.pindi wanawasiliana nae alikuwa ana2mia namba ya nigeria.baada kama ya siku mbili akasema aongeze hela kama usd 1500 coz ameongeza idadi za simu eti alimuambia na akakubali ila muhusika hakumbuki kama alimtarifu kabla.basi malipo ya mara ya pili akasema am2mie nigeria badala ya hungury.na akasema pindi tu malipo ya mara ya pili yakikamilika atapata mzigo wake ambayo ni tarehe 30 dec 2013.cha ajabu mpaka leo hajapata chochote,ame2mia usafirishaji wa broadline 247.na ukiweka track number inasema bado ipo julius nyerere airpot mpaka sasa.yeye kajaribu kuwasiliana nao wote muuzaji na shipper (broadline 247) kuanzia asubuhi mpaka jioni ndo wakasema mpaka ifike mwanza lazima ilipwe dola kama 970 kama custom duty ndio ita2mwa mza tena i2mwe hungury kupitia western union halaf wao broadline ndio watalipa custom,sasa mimi na muhusika 2mepata wasiwasi 2talipaje ushuru hata mzgo ha2jaona?je ipo sawa hio au ndio matapeli?
njunwa wamavoko huo mzigo haupo popote, even hiyo broadline247 looks like an imposter maana hata ukicopy ile "about us" yao is just a copy paste of from many other fake sites. And just look at how simple that site is, can a big courier really have that plane site ambayo haina offices location, wala any other form of communication apart from email.Mzigo ushatumwa na Upo Mwl Julius Nyerere na wamemwambia alipe ushuru dola 970
Not all nigerians are BAD kuna mmoja ni reseller wa VPN na kwao hawaruhusu Paypal ila anayo clone nimemtumia 200$ na mpaka sasa kanitumia 150$ via Western union
njunwa wamavoko huo mzigo haupo popote, even hiyo broadline247 looks like an imposter maana hata ukicopy ile "about us" yao is just a copy paste of from many other fake sites. And just look at how simple that site is, can a big courier really have that plane site ambayo haina offices location, wala any other form of communication apart from email.
Well said mkuu, ingawa hizi business za western union are usually not recommended, inabidi utake a leap of faith tu and see kama jamaa waaminifu or not but majority of them ni matapeli
let me try,hapa akili imestack.na chakushangaza hawataki hata mtu wa dar auone then ndio aulipie,na wanasema hauwezi ku2mwa mwanza mpaka ni wa2mie hela wao broadline then wao ndio watalipa tra kwa sababu wao ndio wahusika.vry strange.
habari waheshimiwa.naomba msaada wenye uzoefu na haya mambo.kuna jamaa yangu alimuona muuzaji ktk site ya Nifahamishe uza na nunua.ana uza mobile phones location hungury ila contacts zake za uk.wakafanya communication then payment zikafanyika kupitia western union kwenda hungury.pindi wanawasiliana nae alikuwa ana2mia namba ya nigeria.baada kama ya siku mbili akasema aongeze hela kama usd 1500 coz ameongeza idadi za simu eti alimuambia na akakubali ila muhusika hakumbuki kama alimtarifu kabla.basi malipo ya mara ya pili akasema am2mie nigeria badala ya hungury.na akasema pindi tu malipo ya mara ya pili yakikamilika atapata mzigo wake ambayo ni tarehe 30 dec 2013.cha ajabu mpaka leo hajapata chochote,ame2mia usafirishaji wa broadline 247.na ukiweka track number inasema bado ipo julius nyerere airpot mpaka sasa.yeye kajaribu kuwasiliana nao wote muuzaji na shipper (broadline 247) kuanzia asubuhi mpaka jioni ndo wakasema mpaka ifike mwanza lazima ilipwe dola kama 970 kama custom duty ndio ita2mwa mza tena i2mwe hungury kupitia western union halaf wao broadline ndio watalipa custom,sasa mimi na muhusika 2mepata wasiwasi 2talipaje ushuru hata mzgo ha2jaona?je ipo sawa hio au ndio matapeli?
njunwa wamavoko huo mzigo haupo popote, even hiyo broadline247 looks like an imposter maana hata ukicopy ile "about us" yao is just a copy paste of from many other fake sites. And just look at how simple that site is, can a big courier really have that plane site ambayo haina offices location, wala any other form of communication apart from email.
Well said mkuu, ingawa hizi business za western union are usually not recommended, inabidi utake a leap of faith tu and see kama jamaa waaminifu or not but majority of them ni matapeli
western union sio mbaya kufanya malipo,ila inategemea na website unayo deal nayo,mfano kwenye aliexpress,utakuta seller ameweka njia za malipo,kama visa,mastercard,paypal na western union au bank transfer.lakini aliexpress wanachukua jukumu la kusecure malipo yako kupitia buyers protection,yaani unatuma pesa kwa njia yeyote iliyoidhinishwa kwenda kwa aliexpress website siyo kwa seller moja kwa moja,baada ya hapo wanachofanya aliexpress ni kuutrack mzigo mpaka unafika kwenye destination husika na kuconfirm na mnunuzi then ndo hufikisha pesa kwa muuzaji.yaani wapo systematic zaidi,cha msingi siyo kuangalia payment methods,ila how secure is the trade
hapo ishu kama ni ya utapeli,labda na hao broadline247 wawe ni matapeli,otherwise jamaa wawe na mtandao mpana kiasi cha kuweza kuingilia system za courier company kama hiyo(broadline247)sababu kwa udadisi wangu nimeingia kwenye
Broadline 247 Delivery Services | Home nimeona service zao zipo clear tu kama DHL,FEDEX na wengineo,na umesema umeweza kutrack mzigo na ukapata whereabout zake hivyo hiyo biashara ipo sema cha kufanya ni wewe kudeal na broadline sababu ni wao waliochukua dhamana ya kukufikishia mzigo mahali ulipo,kuhusu ishu ya TAX inaweza kweli kuwa inahusika sababu courier company ndizo huwa zinaclear mizigo,lakini kwa makampuni kama DHL,FEDEX au UPS huwa wanacalculate kabisa thamani ya mzigo na gharama zake za ushuru kwa nchi unapokwenda ndipo wakupa shipping cost.usikate tama fuatilia kwa karibu,utajua,ila next time jaribu kusoma kwanza terms za biashara kabla kufanya malipo,maana saa nyingine utakuta muuzaji ametoa specification za bidhaa,labda minimum order ni 100pcs au more,mtu unakurupuka tu kuplace order,matokeo yake unaingia kingi bila kujijua,pia jaribu kuwa unatumia DHL au FEDEX,ndio wanaaminika,hawa broadline247,ndio kwanza nawasikia kwako na kuwasoma kwenye website yao.napenda kuwasilisha hoja
tatizo linkujaje,wao wanataka wu tu ndio hela i2mwe hapo na chakushangaza hio website ukiichunguza kwa makini domain ni kutoka nigeria,na kali zaidi anachongea muuzaji na hao hivohivo mpaka nahisi ni m2 moja ana2cheza akili.na ki2 kilichozidi kunipa wasiwasi ni pale majuzi walipo tuma email hao broadline kusuhu custom duty.mimi nikampigia muuzaji nikasema ha2wezi kulipa mpaka tuone bidhaa,na pili 2ta2maje na tuna2ma wapi hio custom duty kwasababu ha2jui office yao na wala contacts zao.basi yeye(muuzaji) aka2ma contacts za hao broadline na wao kumbe wanigeria na anaongea kama huyo muuzaji kabisa,ila wao kasitiza malipo tu ila hawakusema chochote kuhusu WU.baada ya muda yule muuzaji aka2pigia simu kwa amewasiliana na hao shipper na wamemwambia sisi 2mepiga simu ila ha2jaelewana vzuri so malipo ifanyike WU.na kila mara 2napo wasiliana na muuzaji akiuliza kama 2mewa2mia email hao shipper na sisi kikubali kama 2me2ma kumbe hatuja2ma yeye anakataka kabisa kama vile ndio yeye alie2miwa,pia akiuliza je 2mepata email any mail from the shipper na kama ha2japata,1 min email ina2mwa hapo hapo