CCM is very cheap. wanaletewa hela na katoto ka kihindi kuwachagulia rais wa jamhuri ya muungano ? what a shame. Manji ndio anateua na kumweka madarakani rais. Si bora hata angekwenda mwenyewe, anatuma mtoto ??? yaani kaona ni jambo dogo sana kama kumtuma mtoto soda au maji kwenye kioski.
Kama Membe angechaguliwa si angekua anatumwa sigara na Manji kila mara akienda nje ya nchi.
BURE KABISA HAWA CCM. UNAWEZA UKAFIKIRI UNAONGEA NA MTU MSOMI KUUUMBE ANATUMWA SIGARA NA MANJI. MANJI SI MTOTO WA JUZI TU. LEO MIJITU INA MIAKA SIXTY PLUS INAMPA SHIKAMOO KWASABABU YA ULOFA WA FIKRA