DuuuhManispaa ya Mbarara, kweli kwa wingi wa magari na boda boda mnashindwa nini kuweka traffic lights ?
Mbara ipo mkoa gani au unaongelea mbarara ya UgandaManispaa ya Mbarara, kweli kwa wingi wa magari na boda boda mnashindwa nini kuweka traffic lights ?
Mbarara si ipo Uganda...?Manispaa ya Mbarara, kweli kwa wingi wa magari na boda boda mnashindwa nini kuweka traffic lights ?
Iko wapi mkuu?Mbarara imekua kubwa sana na kuna magari mengi sana kwa sasa hata boda boda kuna wakati zinafunga kabisa
Sasa kama ipo Uganda mnataka diplomasia kati ya Tanzania na Uganda ili kuwepo na Taa?
Mengine achia serikali yako itajua mipango yake kama kunafaa kuwekwa mataa utaona wameweka.
Pia jaribuni kuomba msaada jumuiya za kimataifa kama serikali itakataa kuweka Hizo taa.
ktk majitu ya hovyo humu jf wewe ni wa kwanza...unajua hata mbarara iko nchi gani?Muulize sisonje ambae amepeleka taa chato ambalo hakuna magari wakati manispaa kibao hazina Huduma hiyo.
We ndie juha mwambie mwanaume suruari kuwa ujuha wake unaiangamiza Tanzania.ktk majitu ya hovyo humu jf wewe ni wa kwanza...unajua hata mbarara iko nchi gani?
Mkuu kwani mbarara ipo Tanzania? Mbarara ipo Uganda punguza kukurupuka mzeeMuulize sisonje ambae amepeleka taa chato ambalo hakuna magari wakati manispaa kibao hazina Huduma hiyo.