vonteper
Member
- Jan 29, 2015
- 24
- 9
Wakati ASP NA TANU wanaungana walitengeneza chama kinoja kilichokua na kiongoz mpenda haki baba wa taifa mwalimu jk nyerere
Lakini alikabidhi chama watu wasio weza kusema hapana kuhusu rushwa kwa dhati wanatamaa nyingi na rasilimali za nchi hii
Alio gawana ccm ni maraisi walio fuata kwenye hawamu ya tatu na nne wamekifanya chama kua cha wachache na wenyesauti
Utawaskia wenye share kina kinana wakiiagiza setikali.
Anaekwenda kuizika ccm ni aliye gawa nchi baada yakuona chama hakina tena steki yakugawana..na kufikia hapo tunaweza ona mwanzo mpya wa historia ya tanzania.
Lakini alikabidhi chama watu wasio weza kusema hapana kuhusu rushwa kwa dhati wanatamaa nyingi na rasilimali za nchi hii
Alio gawana ccm ni maraisi walio fuata kwenye hawamu ya tatu na nne wamekifanya chama kua cha wachache na wenyesauti
Utawaskia wenye share kina kinana wakiiagiza setikali.
Anaekwenda kuizika ccm ni aliye gawa nchi baada yakuona chama hakina tena steki yakugawana..na kufikia hapo tunaweza ona mwanzo mpya wa historia ya tanzania.