Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
Nakumbuka sheikh mkuu wa mkoa wa DSM alitangaza hili. Kuwa amempa mangi kimambi mwaka huu baada ya hapo wasilaumiane.
Mimi nmejaribu kumfuatilia huyu mangi kimambi nmegundua kuwa amekuwa akipenda adui wake yeye awe public enemy.na rafik yake yeye awe public friend.
Nmeona jinsi ambavyo alipokuwa akimpamba wema na alipokuja kugombana naye anafanya juhudi sana za kumkuza mobeto.
Binafs mange,mobeto,wema wote ni aina moja. Wanawake wasio na brain kichwani.of course hawawezi kosa wafuasi.maana hata kibwetere alipata wafuasi, nabii tito alipata wafuasi.sababu binadam hatupo sawa.
Ukitaka kujua mangi kimambi hana akili soma kwenye post zake ujue alikosa malezi mazuri na pia hakutaka kujipatia malezi mazuri.na ndo jamii kubwa ya watanzania.ndo maana leo hii angekuwepo malcom x au martin luther king tanzania angekuwa na followers wachache ukilinganisha na mange au amber ruti.
Kwa nini? Jamii ya kitanzania iliyopo sasa ubongo haufanyi kazi kabisa.elimu hamna jamii inapenda habari za kidaku,umbea na uchafu.ndo jamii zinazoweza mchagua kibajaji awe mbunge.unadhan itashindwa mchagua mange au amber rutu kuwa mbunge?
Mwaka huu ndiyo alipewa kuwa amwombe radhi sheikh wa mkoa ama sivyo atashughulikiwa. Zimebaki siku takriban 40- 43 kama sikosei.
Mimi nmejaribu kumfuatilia huyu mangi kimambi nmegundua kuwa amekuwa akipenda adui wake yeye awe public enemy.na rafik yake yeye awe public friend.
Nmeona jinsi ambavyo alipokuwa akimpamba wema na alipokuja kugombana naye anafanya juhudi sana za kumkuza mobeto.
Binafs mange,mobeto,wema wote ni aina moja. Wanawake wasio na brain kichwani.of course hawawezi kosa wafuasi.maana hata kibwetere alipata wafuasi, nabii tito alipata wafuasi.sababu binadam hatupo sawa.
Ukitaka kujua mangi kimambi hana akili soma kwenye post zake ujue alikosa malezi mazuri na pia hakutaka kujipatia malezi mazuri.na ndo jamii kubwa ya watanzania.ndo maana leo hii angekuwepo malcom x au martin luther king tanzania angekuwa na followers wachache ukilinganisha na mange au amber ruti.
Kwa nini? Jamii ya kitanzania iliyopo sasa ubongo haufanyi kazi kabisa.elimu hamna jamii inapenda habari za kidaku,umbea na uchafu.ndo jamii zinazoweza mchagua kibajaji awe mbunge.unadhan itashindwa mchagua mange au amber rutu kuwa mbunge?
Mwaka huu ndiyo alipewa kuwa amwombe radhi sheikh wa mkoa ama sivyo atashughulikiwa. Zimebaki siku takriban 40- 43 kama sikosei.