Wamesahau kusema wameandaa kilo ngapi za chumvi, sukari, unga, pia wameandaa TShirt, kofia, khanga, nk na vile vile TSh ngapi za kuwahonga walalahoi? Wanajiandaa na ushindi mwingine wa kishindo feki? Kaaazi kweli kweli! Kama wangekuwa wanakubalika magari yote ya nini?