Maneno ya Busara ya Mh. LOWASSA

Maneno ya Busara ya Mh. LOWASSA

ndiyomkuusana

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
668
Reaction score
426
" Watu wanasema mimi ni Mgonjwa, lakini wakumbuke kuwa Suala la ugonjwa au uzima lipo mikononi mwa Mungu, Nawapa Hongera wale wanaojiona wana Afya njema, lakini wakumbuke kuwa na Afya njema ni mpango wa Mungu. Waweza leo ukawa na Afya Njema, lakini kesho ukawa Mgonjwa. Toka Mwanzo nilishasema Pale Jangwani wakati tunaanza kampeni kwamba Sitatumia hata tusi moja Kwenye kampeni, nitafanya kampeni za Busara. na tutachukua Nchi kwa Amani. Kuna Baadhi ya wagombea ambo wapo Vyama Vingine Ukiacha ukawa, ambao Tutakapochukua Nchi itabidi tuwachukue nao ili waje kusaidia Kuwaletea Watanzania maendeleo ya Kweli, sasa Leo tukiwatukana ,na siku tukiwachukua Tutashindwa kueleweka kwa Wanaanchi. Tutachukua Nchi kwa Amani, bila tatizo lolote."


haya ni maneno ya Busara ya Mzee wetu Lowasa ambaye alisema akiwa kwenye kampeni jimbo la Vunjo na Hai.
 
lowassa anahekima ya uongozi sana ila watu wanajifanya hawamuelewi na kumtolea manneno mabaya
 
Nimehuzunika sana kwa maneno ya huruma aliyoyasema mh.lowasa. Na wanaosema ni mgonjwa watuambie wao wana mkataba na MUNGU?
 
" Watu wanasema mimi ni Mgonjwa, lakini wakumbuke kuwa Suala la ugonjwa au uzima lipo mikononi mwa Mungu, Nawapa Hongera wale wanaojiona wana Afya njema, lakini wakumbuke kuwa na Afya njema ni mpango wa Mungu. Waweza leo ukawa na Afya Njema, lakini kesho ukawa Mgonjwa. Toka Mwanzo nilishasema Pale Jangwani wakati tunaanza kampeni kwamba Sitatumia hata tusi moja Kwenye kampeni, nitafanya kampeni za Busara. na tutachukua Nchi kwa Amani. Kuna Baadhi ya wagombea ambo wapo Vyama Vingine Ukiacha ukawa, ambao Tutakapochukua Nchi itabidi tuwachukue nao ili waje kusaidia Kuwaletea Watanzania maendeleo ya Kweli, sasa Leo tukiwatukana ,na siku tukiwachukua Tutashindwa kueleweka kwa Wanaanchi. Tutachukua Nchi kwa Amani, bila tatizo lolote."


haya ni maneno ya Busara ya Mzee wetu Lowasa ambaye alisema akiwa kwenye kampeni jimbo la Vunjo na Hai.

Watu wanaomtukana huyu mzee, sijui wana nini?
 
tunataka viongozi kama huyu wasio na mihemko hata walkitukasnwa wanakuwa na subira. kama angeanza kujibu asingeweza kufikia malengo ya kufikisha ujumbe kwa walengwa ndio hadi leo watu wanamshangaa mtu huyu, na wanatoka kwa wingi. tusubira tarehe 25.10.2015 watasemaje
 
Ni haibu kubwa sana kujibiwa busara, kwa mtu unae mdhihaki kwa maneno machafu na yalio nje ya uwezo wake.
 
Kila la kheri Mr next president Lowassa
 
Mimi sisemi kwa ushabiki inabidi ccm wajipime sana kwenye hili. Mimi kumwita fisadi sawa lakini hili la ugonjwa na kusema kajinyea litawatafuna ccm milele. ngoja joto la uchaguzi likishapoa. Ccm wamezidi mchecheto na mihemko. Mpaka magufuli wamekua kama watoto wa vijiweni. Very uproffesional
 
Wanaosema ni mgonjwa watakufa wao kwanza tena sio kwa ajal bali maradhi na watamwacha rais wao madarakani, viva lowasa
 
Tutampa Mgojwa Huyu huyu.


Kuibakiza CCM Madarakani ni kheli kubaki na Kipindupindu.

Ref. Ujumbe toka Tanga kwenye Posters za Janas
 
naamini kabisa kwa maneno anayopewa huyu mzee na misisiem angekua mgonjwa kweli ima alishakufa kwa strok ima alishashindwa kuendelea na kampeni kwa kukosa nguvu za kusimama jukwaani....chakushangaza sana huyuhuyu wanaemwita mgonjwa kila siku yupo majukwaani akinadi sera na hajapatwa hata na chafya au kukaukiwa sauti km yule mwingine...ushauri wangu kwa nape na wenzake maana jana kanikera sana huyu nape:angalia usije kuzikwa na mzee afya na uzima ni zawadi tu kutoka kwa mwenyezi MUNGU
 
Mpaka tuchukue nchi lazima tuumizwe kwa matusi ya fisiyemu. But who care??
 
" Watu wanasema mimi ni Mgonjwa, lakini wakumbuke kuwa Suala la ugonjwa au uzima lipo mikononi mwa Mungu, Nawapa Hongera wale wanaojiona wana Afya njema, lakini wakumbuke kuwa na Afya njema ni mpango wa Mungu. Waweza leo ukawa na Afya Njema, lakini kesho ukawa Mgonjwa. Toka Mwanzo nilishasema Pale Jangwani wakati tunaanza kampeni kwamba Sitatumia hata tusi moja Kwenye kampeni, nitafanya kampeni za Busara. na tutachukua Nchi kwa Amani. Kuna Baadhi ya wagombea ambo wapo Vyama Vingine Ukiacha ukawa, ambao Tutakapochukua Nchi itabidi tuwachukue nao ili waje kusaidia Kuwaletea Watanzania maendeleo ya Kweli, sasa Leo tukiwatukana ,na siku tukiwachukua Tutashindwa kueleweka kwa Wanaanchi. Tutachukua Nchi kwa Amani, bila tatizo lolote."


haya ni maneno ya Busara ya Mzee wetu Lowasa ambaye alisema akiwa kwenye kampeni jimbo la Vunjo na Hai.

...na hii ndiyo strength yake kubwa iliyomfanya aweze kujitengenezea marafiki na mtandao mkubwa ndani na nje ya CCM. ni nadra sana kumkuta huyu bwana anahamaki (just like the late Sokoine was).
 
Naachaje sasa kumpenda jamani?
Penda sana Lowassa mimi,Mungu ampe maisha marefu nizidi kujifunza zaidi kutoka kwake.
 
" Watu wanasema mimi ni Mgonjwa, lakini wakumbuke kuwa Suala la ugonjwa au uzima lipo mikononi mwa Mungu, Nawapa Hongera wale wanaojiona wana Afya njema, lakini wakumbuke kuwa na Afya njema ni mpango wa Mungu. Waweza leo ukawa na Afya Njema, lakini kesho ukawa Mgonjwa. Toka Mwanzo nilishasema Pale Jangwani wakati tunaanza kampeni kwamba Sitatumia hata tusi moja Kwenye kampeni, nitafanya kampeni za Busara. na tutachukua Nchi kwa Amani. Kuna Baadhi ya wagombea ambo wapo Vyama Vingine Ukiacha ukawa, ambao Tutakapochukua Nchi itabidi tuwachukue nao ili waje kusaidia Kuwaletea Watanzania maendeleo ya Kweli, sasa Leo tukiwatukana ,na siku tukiwachukua Tutashindwa kueleweka kwa Wanaanchi. Tutachukua Nchi kwa Amani, bila tatizo lolote."


haya ni maneno ya Busara ya Mzee wetu Lowasa ambaye alisema akiwa kwenye kampeni jimbo la Vunjo na Hai.

Hawezi kuongea muda wote huu,na kukumbuka haya yote..bisha kama hujamuongelea?!niambie unalipwa shingap?
 
Dah aisee kweli binadamu hatujui kesho yetu mgonjwa bado anakula oxygen tu
 
Back
Top Bottom