Tatizo vijana wa cdm ufahamu wao ni duni sana. Ndio sababu Mbowe,msigwa na Lissu wanawapeleka wanavyo penda.
Umejiuliza kama yule si polisi ni nani? Je kama ni askari wa jwt? Au ni wa Tiss? Je ulitaka Mwigulu awe msemaji wa vyombo ambavyo havipo chini yake?