Manara huna mamlaka ya kumpangia kazi Zahera

Kalolelo

Senior Member
Oct 17, 2018
164
244
Huyu jamaa hajielewi na mashabiki wa simba wanaomsaport
1.wewe boss wako ni Samba Zahera boss wake ni Yanga shughulika na Habari za Simba
2.Kutokusafiri na timu Iringa hilo halikuhusu.
3.Unaposema aache una maana gani na ww kama nani kwenye soka
Shughulika na simba yako Yanga haikuhusu nimegundua kumbe ndiyo maana ulifungiwa jieshimu brother tuachie kocha wetu wala hujachangia chochote kuja kwake huna maaana kabisa
Umekutana na kisiki Zahera kashakujibu kuwa ww ni............... Jibu mapigo
 
Haji manara simba na Wenye soka Hili wawe makini la sivyo soka lita kwenda kuwa la vurugu..na ndivyo anavyo fanya manara..anatumia vibaya nafasi yake..

Tusipo angalia mashabiki wa simba na Yanga watakuwa hawakai kiti kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UKIJIJUA WEWE NI SHABIKI WA YANGEYANGE,YEBOYEBO,NDALA,MALOFA FC,MASUFURIA FC,MIBAKULI FC,OMBAOMBA FC,VYURA FC, BASI JUA KUWA AKILI ZAKO HAZINA TOFAUTI NA MJUSI................
 
Tatizo Simba na Manara wasahaulifu,hivi huyu aliyekuwa Kocha wao na Niyonzima walifuata nini Lyon,wakati Yanga ikijiandaa kucheza na Lyon.

111111.PNG
 
Huyu jamaa hajielewi na mashabiki wa simba wanaomsaport
1.wewe boss wako ni Samba Zahera boss wake ni Yanga shughulika na Habari za Simba
2.Kutokusafiri na timu Iringa hilo halikuhusu.
3.Unaposema aache una maana gani na ww kama nani kwenye soka
Shughulika na simba yako Yanga haikuhusu nimegundua kumbe ndiyo maana ulifungiwa jieshimu brother tuachie kocha wetu wala hujachangia chochote kuja kwake huna maaana kabisa
Umekutana na kisiki Zahera kashakujibu kuwa ww ni............... Jibu mapigo
Lipuli 1 yanga chura sc 0


Sent using Jamii Forums mobile app
 
D TEN akiwa kwenye kipaza sauti huwa anaongea mambo ya maana na ambayo yanaihusu #DAR YOUNG AFRICAN lakini HAJJI ni lazima tu ataitaja na yanga
Sasa kwanini mnamfatilia haji Sana jibu kisomi bhana

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Huyu jamaa hajielewi na mashabiki wa simba wanaomsaport
1.wewe boss wako ni Samba Zahera boss wake ni Yanga shughulika na Habari za Simba
2.Kutokusafiri na timu Iringa hilo halikuhusu.
3.Unaposema aache una maana gani na ww kama nani kwenye soka
Shughulika na simba yako Yanga haikuhusu nimegundua kumbe ndiyo maana ulifungiwa jieshimu brother tuachie kocha wetu wala hujachangia chochote kuja kwake huna maaana kabisa
Umekutana na kisiki Zahera kashakujibu kuwa ww ni............... Jibu mapigo
Huyu si mwanamichezo ila ni mwanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manara kashafanikiwa,alitaka kuwavuruga maana mlijipanga sana kutuharibia,usidhani hajui yote usemayo lakini kwake ulikuwa ni mwanya wa kuutumia kuwarudisha nyuma,kwa kweli Manara anajua kuwatumia Yanga,anawatumia atakavyo kufanikisha malengo yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom