Manabii mpo wapi?

kibuyu180

JF-Expert Member
Oct 22, 2016
1,715
1,819
Nabii ni mjumbe wa Mwenyezi MUNGU. Nabii anafikisha ujumbe wa MUNGU kwa mwanadamu/ Wanadamu. MUNGU anataka nn. Hataki nini. Ama kitu kifanyike kwa namna gani.
Pia Nabii anapeleka maombi ya Wanadamu kwa MUNGU.
Wakati mwingine Nabii anasema lijalo liwe zuri au baya, kama alivyoelekezwa na MUNGU. Na sababu hasa kwanini linatokea.
Nawaomba Manabii wetu hapa Tz watuulizie kwa MUNGU.
1. Ukame,
2. hali ngumu ya maisha
3. nchi kuwa maskini licha ya rasilimali nyingi tulizonazo.
 
Aksante kwa andiko hili.

Nina taswishi kubwa sana na significance ya uwepo wa manabii.

Historia inatuonyesha manabii walikua wajumbe wa kati ya Mungu na wanadamu ktk taifa husika ili kuleta, kutoa taarifa ya nini kusudi au maono ya Mungu juu ya situation ya watu flani .

Lengo kuu ni kuwakumbusha kuchunguza njia zao na kujitathimini kama watahitaji kuendelea kumcha Mungu.

Walikemea dhambi

Walionya wakuu walio hasi sheria ya Mungu

Walitoa maonyo ya adhabu aliyokusudia Mungu

Waliponya na kusaidia watu na changamoto zao

Walimzibitisha na kumfunua Mungu kwa watu wake.


Sasa jiulize manabii tulionao kila kona ya hii nchi tija yao ni nini?

Hawajawai kuja na chochote kwa ajili ya Taifa hili juu ya hali yetu kiroho na hata kimwili.

Taifa limejaa waabudu mizimu; uchawi na uhasi wa aina zote.

Mateso makali yatokanayo na umasikini uliokithili .

Tazama hata nyakati tunazotaka mwelekeo wa kimungu kufanya maamuzi kwa mfano kipindi cha uchaguzi.....wote ndimi zao hazijawai kupatia na daima ni kuwavuruga wananchi kila mtu na wake.

( jiulize kama ni Mungu mmoja wanaomwamini why those discrepancies?????)


Manabii wetu wako bizy

Kujenga huduma za kuhudumia watu 2000 mijini

Kuwabashilia watu kuwa Mungu atawatoa kiuchumi na changamoto mbalimbali huku .....kadri siku zinavyoenda idadi ya wakristo makanisani pao hali zao zinakua mbaya huku manabii hao wakivuna utajili usioelezeka.

Nitoe changamoto kwa wakristo ni lazima tujitafakari inakuaje tunatangaziwa baraka kila siku lakini hali zenu zinakuwa mbaya kila siku???????

Ebu fanyeni tafiti watu wote wanaokili uponyaji na kubarikiwa kupitia shuhuda na huduma za radion; Tv na other social media.

Jiridhisheni hao watu wako wapi baada ya miezi 6;12 etc.

Kuna mtu aliwahi fanya utafiti wake binafsi akagundua baadhi ya watu waliokili kuponywa; kupata mpenyo wa kifedha n.k baada ya Muda fulani hao watu hakuwaona tena kanisani; baadhi waliosema kuponywa magonjwa na mateso yao yamewarudia na wengine hata Yesu hawamtaji tena?

Sasa jiulize where is the sustainable benefit of this prophetic ministries???


Wengi wanaibuka na nguvu kubwa after a while wote moto wao unapoa......na kubaki kutumia saikolojia tuu kuwahudumia wakristo walio chini yao.


Ni wakati wa wakristo kuwa macho

Zijaribuni kila roho

Chunguzeni matunda ya kila mti

Hakuna point na wala sitakaa nikuelewe eti mtumishi unajidai umebarikiwa.

Unamiliki magari 10 yote ya thamani kubwa

Unaishi kwenye majumba makubwa na ya thamani

Unalindwa na mabodiguard kwa gharama kubwa.


Na kufanya maisha ya anasa ..............wakati waumini wako 90% wamechoka ki uchumi

Wamejaa hofu na madeni

Wanaimba pambio za matumaini


Usivyo ma huruma nyie watumishi mmeweka kongwa zito juu yao ya utitili wa sadaka .

Mbona hamumuhubiri Yesu kwa matendo?

Je viwango vya huduma kama za kina paulo mtaviishi lini?


Ni haibu
Ni haibu
Ni haibu

Kwa wote wanaojiita watumishi wa Mungu aliye Juu.( JEHOVA)
 
hahahaaa mkuu hawa ni wale waliotabiriwa wa uongo mtume wa mwisho kuja duniani ni muhamad
Aliufanyia nini ulimwengu tofauti na manabii wa sasa?. Tena naona heri ya manabii wa sasa kwani wanatoa na mapepo. Huyu unayemsema alifanya kitu gani?.
 
Aksante kwa andiko hili.

Nina taswishi kubwa sana na significance ya uwepo wa manabii.

Historia inatuonyesha manabii walikua wajumbe wa kati ya Mungu na wanadamu ktk taifa husika ili kuleta, kutoa taarifa ya nini kusudi au maono ya Mungu juu ya situation ya watu flani .

Lengo kuu ni kuwakumbusha kuchunguza njia zao na kujitathimini kama watahitaji kuendelea kumcha Mungu.

Walikemea dhambi

Walionya wakuu walio hasi sheria ya Mungu

Walitoa maonyo ya adhabu aliyokusudia Mungu

Waliponya na kusaidia watu na changamoto zao

Walimzibitisha na kumfunua Mungu kwa watu wake.


Sasa jiulize manabii tulionao kila kona ya hii nchi tija yao ni nini?

Hawajawai kuja na chochote kwa ajili ya Taifa hili juu ya hali yetu kiroho na hata kimwili.

Taifa limejaa waabudu mizimu; uchawi na uhasi wa aina zote.

Mateso makali yatokanayo na umasikini uliokithili .

Tazama hata nyakati tunazotaka mwelekeo wa kimungu kufanya maamuzi kwa mfano kipindi cha uchaguzi.....wote ndimi zao hazijawai kupatia na daima ni kuwavuruga wananchi kila mtu na wake.

( jiulize kama ni Mungu mmoja wanaomwamini why those discrepancies?????)


Manabii wetu wako bizy

Kujenga huduma za kuhudumia watu 2000 mijini

Kuwabashilia watu kuwa Mungu atawatoa kiuchumi na changamoto mbalimbali huku .....kadri siku zinavyoenda idadi ya wakristo makanisani pao hali zao zinakua mbaya huku manabii hao wakivuna utajili usioelezeka.

Nitoe changamoto kwa wakristo ni lazima tujitafakari inakuaje tunatangaziwa baraka kila siku lakini hali zenu zinakuwa mbaya kila siku???????

Ebu fanyeni tafiti watu wote wanaokili uponyaji na kubarikiwa kupitia shuhuda na huduma za radion; Tv na other social media.

Jiridhisheni hao watu wako wapi baada ya miezi 6;12 etc.

Kuna mtu aliwahi fanya utafiti wake binafsi akagundua baadhi ya watu waliokili kuponywa; kupata mpenyo wa kifedha n.k baada ya Muda fulani hao watu hakuwaona tena kanisani; baadhi waliosema kuponywa magonjwa na mateso yao yamewarudia na wengine hata Yesu hawamtaji tena?

Sasa jiulize where is the sustainable benefit of this prophetic ministries???


Wengi wanaibuka na nguvu kubwa after a while wote moto wao unapoa......na kubaki kutumia saikolojia tuu kuwahudumia wakristo walio chini yao.


Ni wakati wa wakristo kuwa macho

Zijaribuni kila roho

Chunguzeni matunda ya kila mti

Hakuna point na wala sitakaa nikuelewe eti mtumishi unajidai umebarikiwa.

Unamiliki magari 10 yote ya thamani kubwa

Unaishi kwenye majumba makubwa na ya thamani

Unalindwa na mabodiguard kwa gharama kubwa.


Na kufanya maisha ya anasa ..............wakati waumini wako 90% wamechoka ki uchumi

Wamejaa hofu na madeni

Wanaimba pambio za matumaini


Usivyo ma huruma nyie watumishi mmeweka kongwa zito juu yao ya utitili wa sadaka .

Mbona hamumuhubiri Yesu kwa matendo?

Je viwango vya huduma kama za kina paulo mtaviishi lini?


Ni haibu
Ni haibu
Ni haibu

Kwa wote wanaojiita watumishi wa Mungu aliye Juu.( JEHOVA)
Nimelipenda andiko lako
 
Nabii wa ukweli ni Lema tu. Ambaye namfananisha na Yeremiah.
 
Aliufanyia nini ulimwengu tofauti na manabii wa sasa?. Tena naona heri ya manabii wa sasa kwani wanatoa na mapepo. Huyu unayemsema alifanya kitu gani?.
ha ha ha haaaaaaa yani wewe kweli uko gizani,

Mapepo wanakutieni wenyewe hao endelea kuliwa tu siku utazinduka
 
Aliufanyia nini ulimwengu tofauti na manabii wa sasa?. Tena naona heri ya manabii wa sasa kwani wanatoa na mapepo. Huyu unayemsema alifanya kitu gani?.

Legacy ya Muhammad ni kubwa, kwa ufupi

anafollowers zaidi ya 2 billions dunia nzima

Ameacha mfumo kamili wa maisha(islamic culture), mfumo kamili wa uchumi (islamic economy/islamic banking), mfumo kamili wa utawala (sharia)

Sijui kuna nabii au dini yoyote duniani iliyoweza kufikia japo theluthi ya mafanikio hayo
 
Aliufanyia nini ulimwengu tofauti na manabii wa sasa?. Tena naona heri ya manabii wa sasa kwani wanatoa na mapepo. Huyu unayemsema alifanya kitu gani?.

kwa hiyo kila anaekemea na kutoa mapepo mnampa jina mtume na tangia wameanza kutoa mapepo mpaka leo hayajesha sasa hao ni mitume kweli hakuna utume tena mkuu hao ni wapiga pesa
na bado kila siku wa
 
Legacy ya Muhammad ni kubwa, kwa ufupi

anafollowers zaidi ya 2 billions dunia nzima

Ameacha mfumo kamili wa maisha(islamic culture), mfumo kamili wa uchumi (islamic economy/islamic banking), mfumo kamili wa utawala (sharia)

Sijui kuna nabii au dini yoyote duniani iliyoweza kufikia japo theluthi ya mafanikio hayo
You are right.ila tusimuamini kwa idadi ya followers,shetani anazaidi ya hao na kuhusu life system duu nani anamfikia nyoka mkuu wa zamani??ni baba wa uongo ,ni mchoyo, hasamehe,uchu wa madaraka,anapenda kumiliki vyote akijua siyo vyake,halipi deni nk nk.nani kama yeye?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom