Team inaundwa na watu wane, yaani Kipa, Beki namba 5,Kiungo Mkabaji na Mshambuliaji. Mpaka sasa hivi mimi naona Man U inahitaji Beki wa kati kama Mart Hummels wa Dortmund au Thiago Silva wa PSG, watafute Kiungo mkabaji anaeleweka, wakiweza waende Barca waongee na Alex Song. Tena kwenye Kiungo wasajili wengi. mimi sio shabiki wa Man United.