ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,274
- 22,008
Mamelod Sundowns yaafikiana na Klabu ya Sepsi OSK ya nchini Romania kumuachia Mslovakia Pavol Safranko ,26, ajiunge na Mamelod ya Afrika Kusini kwa euro 700,000 zaidi ya Tsh Bilioni 1.9, dau hilo likiwa la uhamisho wa kihistoria katika Klabu hiyo ya Ligi Kuu Romania.
TAKWIMU ZA PAVOL MSIMU HUU
Mechi 25
Magoli 7
Assist 4."
TAKWIMU ZA PAVOL MSIMU HUU
Mechi 25
Magoli 7
Assist 4."