Mambo yatakayo waondoa CCM madarakani

Mambo yatakayo waondoa CCM madarakani

nkisumuno

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
208
Reaction score
72
Mambo yatakayochangia kuanguka kwa serikali ya ccm ni kama ifuatavyo:

1. Kiburi cha viongozi wake.

2.uchakachuaji wa katiba.

3. Wizi na dhuluma ya viongozi

4. Kujitajirisha kwa viongozi huku umaskini wa wananchi ukiongezeka.

5. Kujenga shule za kata kwa ajili ya maskini huku watoto wao wakisoma shule nzuri.

6. Kuzidi kushuka kwa elimu ya tanzania.

7.tatizo la ajira na kukosa ubunifu kwa viongozi.

8.ahadi hewa za wanasiasa.

9.kukosekana kwa dawa hospitali za serikali huku wao wakitibiwa nje ya nchi.

10.kushindwa kuwajibika au kuwajibishwa kwa viongozi wanaofanya madudu.

11.rushwa.

12. Polisi kuua raia rejea kifo cha mwangosi na wengine .

13. Kuamini kuwa hawawezi kuondoka madarakani.

14 mauaji ya albino.

Ongeza na mengine unayoyajua
 
Katiba mpya;
rushwa na ufisafi mfano escrow;
biashara ya madawa ya kulevya na pembe za ndovu;
mpasuko mkubwa Wa kisiasa utakao tokea ndani ya ccm;
mwunganiko Wa vyama vya upinzani (UKAWA); Uhaba Wa Ajira kwa wahitimu mbalimbali; Maisha magumu kwa wafanyakazi na wakulima;
Mfumuko Wa bei za vitu nk tafadhali ongeza
 
Uonevu Dhidi Ya Raia Wasio Na Hatia Kama Kuwabambika Kesi,wananchi Kuishi Ktk Umaskini Wa Kupindukia,rais Kuwafanya Watanzania Wajinga Kwa Kumuweka Muhongo Kiporo,kumtesa Ulimboka Huku Jk Akishiriki,kulifungia Milele Gazeti La Mwa.Na.Halisi
 
Madeni sugui ya walimu, walimu kuto pandishwa madaraja au kuwapandishia bila kuongeza mishahara,
 
Katiba Mpya ndiyo namba moja,uchakachuzi wao hautowaacha salama
 
Back
Top Bottom