Habari Wana Jamiiforum, naomba mpokee salamu za msimu wa sikukuu, hususan Heri Christmas na Mwaka mpya 2026. Niwaombe mpate nafasi ya kupitia mambo haya machache muhimu ya kuzingatia unapochagua shule ya kumpeleka mtoto mdogo wa umri wa chini ya miaka 6. Nitawakumbusha tu basdhi ya vitu vichache ambavyo huwa tunavizingatia tukiwa nyumbani na ni hivyohivyo msivisahau kuzingatiai mnapochagua shule ya awali:
- Mazingira salama, mnapenda mtoto awe sehemu salama
- Usafi wa mtoto na vyote anavyovitumia
- Mafundisho yanayoendana na umri wa mtoto, muhimu sana
- Kulala na kupumzika vizuri
- Afya bora kwa njia ya lishe bora tena kwa wakati sahihi
- Utulivu wa hali ya juu hasa anapokuwa amelala au amepumzika
- Mafundisho bora ya kimaadili; heshima, adabu, nidhamu na utii
Attachments
-
IMG-20251205-WA0038.jpg76.3 KB · Views: 4 -
IMG-20251205-WA0037.jpg66.5 KB · Views: 6 -
IMG-20251205-WA0039.jpg73.7 KB · Views: 7 -
IMG-20251205-WA0040.jpg85.1 KB · Views: 4 -
file_000000008f1871f5b7ffd63d85f38f99.png1.3 MB · Views: 5 -
file_00000000abd471f59dd5c0aa2fb06bda.png1.5 MB · Views: 9 -
file_00000000dc2c71fda84a5fd302d871f8.png1.8 MB · Views: 7 -
file_00000000b3cc71f5ac3705aac141eb83.png1.7 MB · Views: 8