Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Labda baada ya miaka 10 at least, ili awe amepunguza ushawishi kwenye serikali. Na iwe kwa maombi ya at least robo ya wananchi; otherwise ni kuukaribisha udictator.
Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Daaaah usiniambie wakati huo Ukienda UN wanakupa na kichupa cha kukatia stimu? Sipati picha kama Bibi Netanyahu apewe kichupa halafu aje kuelezea kuhusu Iran nucleur program hapo lazima watu wamkubali! Hahaaaa