Mambo 10 niliyo ona mechi ya Yanga na Rayon Sports

Mambo 10 niliyo ona mechi ya Yanga na Rayon Sports

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,198
I will be short

1. Yanga amna kocha

2 . Conte wenge nyingi sana anaitaji game time

3. Ecu sio mchezaji mzuri ni mchezaji machachali

4. jezi ni mbaya may be za mazoezi

5 . Pacome ni mtu hatari sana sana

6 . Bonyeli ni bonge Kama foward la Simba lile nene Kama tofari

7 . Chikola na wengine wana hitaji coaching nzuri sana

8. Team yanga wanayo nzuri sana . Sema kocha amna .

9 . Kuoma mmmh tumpe muda .

10. Mechi ilikuwa imepoa sana sana . Yani yanga wamecheza vibaya . I hope wata improve kidogo sana . Ila mechi ya Simba na yanga . Yanga anakufa . Unless huyu kocha abadilike
 
Mechi ya yanga wote tumeiona na ndio maana tunaona na kukagua makosa yaliyojitokeza lakini hatujaona bado mechi za Simba pengine na wao kuna makosa mengi yanajitokeza Cha msingi tusubiri inyeshe tutaona panapovuja
 
Mechi ya kwanza tu. Huyu kocha angalau aina yake ya uchezaji nimeielewa, tusitegemee ashambulie kama Miloud. Anaweza kuwa kocha mzuri. Ecua ni bonge la mchezaji, msimu huu atafunga zaidi ya goli kumi.
 
Tuache utani wanangu Yule Doumbia nimeona kitu toka kwake ila Kouma hamnamo mtu kabisa
 
I will be short

1. Yanga amna kocha

2 . Conte wenge nyingi sana anaitaji game time

3. Ecu sio mchezaji mzuri ni mchezaji machachali

4. jezi ni mbaya may be za mazoezi

5 . Pacome ni mtu hatari sana sana

6 . Bonyeli ni bonge Kama foward la Simba lile nene Kama tofari

7 . Chikola na wengine wana hitaji coaching nzuri sana

8. Team yanga wanayo nzuri sana . Sema kocha amna .

9 . Kuoma mmmh tumpe muda .

10. Mechi ilikuwa imepoa sana sana . Yani yanga wamecheza vibaya . I hope wata improve kidogo sana . Ila mechi ya Simba na yanga . Yanga anakufa . Unless huyu kocha abadilike
umevimbiwa michembe wewe.
 
I will be short

1. Yanga amna kocha

2 . Conte wenge nyingi sana anaitaji game time

3. Ecu sio mchezaji mzuri ni mchezaji machachali

4. jezi ni mbaya may be za mazoezi

5 . Pacome ni mtu hatari sana sana

6 . Bonyeli ni bonge Kama foward la Simba lile nene Kama tofari

7 . Chikola na wengine wana hitaji coaching nzuri sana

8. Team yanga wanayo nzuri sana . Sema kocha amna .

9 . Kuoma mmmh tumpe muda .

10. Mechi ilikuwa imepoa sana sana . Yani yanga wamecheza vibaya . I hope wata improve kidogo sana . Ila mechi ya Simba na yanga . Yanga anakufa . Unless huyu kocha abadilike
Jifunze kiswahili la sivyo utajiaibisha maana ulichokiandika hakieleweki,ni kama katoto cha msingi mimi naomba uongozi wa jamii wekeni option lazima namba ya nida maana huku kuna vitoto vya pampers
 
Back
Top Bottom