Mama Suzan Kolimba, nani alikutuma uunge mkono juhudi za mabeberu za kutaka tusifyatue kwa kwenda mbele?

Hujui unalo ongea, siku utakayo elewa itakuwa too late walahi!
You are completely finished walahi
 
Umechanganya mambo.
Ni vema kwanza kuanda miundo mbinu ya kupokea hilo wimbi jipya la watoto kabla ya kufuta uzazi wa mpango.Tuandae shule na hospitali za kutosha kisha ndio tufute uzazi wa mpango.
Unao uhakika kama hiyo miundo mbinu haiandaliwi muda huu tunavyoongea?. Zahanati mpya 67 zinajengwa kwa ajili ya hao watoto. Na mengine mengi yanaendelea kufanyika.
 
Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
Mbona kama umepanic ndugu yetu? Tulia basi moyo ukae sehemu yake.

Huu muda unaopoteza hapa si ungeutumia kutafuta mtoto mwingine?
 
Unao uhakika kama hiyo miundo mbinu haiandaliwi muda huu tunavyoongea?. Zahanati mpya 67 zinajengwa kwa ajili ya hao watoto. Na mengine mengi yanaendelea kufanyika.
Pale Palestina ambapo ni kilometer 4 kutoka bohari kuu ya madawa pharmacy wanatoa paracetamol tu, wewe unasherehekea majiwe ya msingi ya ujenzi wa zahanati kilomita 896 kutoka bohari ya madawa.

Unaonaje ungeacha kubishana na wasio wazalendo muda huu ukautumia kuzaa mtoto mwingine?
 
Watanzania zaeni mpaka uzazi ukome wenyewe, hakuna kupangiana idadi. Nchi yetu bado ina mapori mengi sana yanayohitaji watu. Zaa watanzania zaa. Itakuwa vema tukifikia angalau milioni 500 hivi.
 
Unao uhakika kama hiyo miundo mbinu haiandaliwi muda huu tunavyoongea?. Zahanati mpya 67 zinajengwa kwa ajili ya hao watoto. Na mengine mengi yanaendelea kufanyika.
Bado unachanganya mambo...

Je hizo zahanati zina madaktari wa kutosha?Je kunaa vifaa tiba vta kutosha?Je huduma za afya ziko karibu na wamanchi?Je kuna madawa ya kutosha?

Je ni nchi gani nyingine imepiga marufuku uzazi wa mpango?

Je tulifanya utafiti tukajiridhisha kuwa uzaI wa mpango hauna tija au tuna fata tu mawazo ya mtu mmoja?

Je uzazi wa mpango haujapunguza mimba zisizotarajiwa na masuala ya abortion?
 
Bado unachanganya mambo...

Je hizo zahanati zina madaktari wa kutosha?Je kunaa vifaa tiba vta kutosha?Je huduma za afya ziko karibu na wamanchi?Je kuna madawa ya kutosha?

Je ni nchi gani nyingine imepiga marufuku uzazi wa mpango?

Je tulifanya utafiti tukajiridhisha kuwa uzaI wa mpango hauna tija au tuna fata tu mawazo ya mtu mmoja?

Je uzazi wa mpango haujapunguza mimba zisizotarajiwa na masuala ya abortion?
Mkuu mambo yote yanaanzia kichwani. Ukiwa na mfumo sahihi wa elimu hautaogopa wingi wa watu.

Kuna nchi ambazo zina idadi ndogo ya watu na bado ni maskini, kuna nchi zenye watu wengi sana na ni tajiri.
 
Mkuu mambo yote yanaanzia kichwani. Ukiwa na mfumo sahihi wa elimu hautaogopa wingi wa watu.

Kuna nchi ambazo zina idadi ndogo ya watu na bado ni maskini, kuna nchi zenye watu wengi sana na ni tajiri.
Baba mimi kilio changu kipo palepale.

Mambo kama uzazi wa mpango ni vema yafanyiwe maaamuzi baada ya kufanya tafiti za kina.Sio kukurupuka.

Faida pekee ya watu kuzaliana bila mpango ni nchi kupata cheap labour.Je sisi tunahitaji cheap labour au skilled labour?

Hasara za kuzaana bila mpango ni lukuki.Mfano njaa, ujinga,magonjwa, umaskini , utoaji wa mimba na miji holela isiyo na mpango na bila kusahau ukosefu wa ajira.
 
Back
Top Bottom