China wapo zaidi ya bilioni moja na hatuwafikii kiuchumi. Nigeria wapo zaidi ya milioni 170 na hatuwafikii kiuchumi hata kwenye masuala ya kiutamaduni na kijamii. Sisi ambao hatujafika milioni 60 ndio tuwe na hofu eti wingi wa watu ndio ukaribishaji wa umaskini!!.
Very funny, you got it wrong. Mimi gwiji wa haya mambo kitambo tu enzi za darhotwire, yahoomessenger, mpaka na blog nilikuwa nayo. Unapoongea shudu lazima uambiwe.Wewe ni mmoja wa wale watoto wa smartphone, watoto wa miaka ya juzi juzi. Mmezaliwa kitu cha kwanza kukifanya ni kujiunga facebook na twitter.
Mashudu unayaongea wewe, jikite kwenye hoja punguza dharau za kitoto.Very funny, you got it wrong. Mimi gwiji wa haya mambo kitambo tu enzi za darhotwire, yahoomessenger, mpaka na blog nilikuwa nayo. Unapoongea shudu lazima uambiwe.
Kuna iliefanya kazi ngumu ya kampeni kama Nape??Ummy anabebwa na ukaribu wake kwa Mama Samia vinginevyo angeshachinjiliwa mbali. Pia alifanya kazi ngumu ya kupiga kampeni. Sio rahisi sana kumtosa.
Hoja uliyoitoa ni nyepesi eti kwa kuwa china wapo wengi..... na sisi, kumbuka sisi tupo kweny nchi za tjird world mfano wako ni irrelevant sababu hali halisi inaonekana kuanzia kwa mtu m1m1 na collectively, hii nazungumzia kwa majority ya nchi yetu sisi ni bado masikini na mfano hai ambao bado haujaisha machungu ni juzi tu kivuko kimezama kama Taifa tunasubir tuopoe maiti. Alaf tunasahau kazi kuwaza kwenda kulala uchi tu na kuzaliana huu nduo ushudu wenyew alaf tunataka akili hizi eti tuendelee, Miaka milioni tutapiga mark time.Mashudu unayaongea wewe, jikite kwenye hoja punguza dharau za kitoto.
Hahahaha madilu ndo nani, kama ukiona noma kujibia huku njoo chemba.Ajaingia 18 tu anajua kucheza ngoma,MBONA Madilu alipewa za USO hali alipiga kampeni
Mkuu yako ni mawazo ya kilofa. Nigeria kwa wenye kuifahamu ni nchi maskini ingawa ipo juu yetu.Hoja uliyoitoa ni nyepesi eti kwa kuwa china wapo wengi..... na sisi, kumbuka sisi tupo kweny nchi za tjird world mfano wako ni irrelevant sababu hali halisi inaonekana kuanzia kwa mtu m1m1 na collectively, hii nazungumzia kwa majority ya nchi yetu sisi ni bado masikini na mfano hai ambao bado haujaisha machungu ni juzi tu kivuko kimezama kama Taifa tunasubir tuopoe maiti. Alaf tunasahau kazi kuwaza kwenda kulala uchi tu na kuzaliana huu nduo ushudu wenyew alaf tunataka akili hizi eti tuendelee, Miaka milioni tutapiga mark time.
yeye mbona anao 2 tu?Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
Hivi Ummy maticha huwa ni ngoma ya nani ile wazee,dahhhhhh kweli wakubwa wanafaidi sana!
China tangu mwaka 79 walikuwa na sheria kabisa ya mtoto mmoja kwa kila family, so kila family iliwekeza kwa elimu na afya ya mtoto. Family ziliweza ku save na ku prosper, huku serikali ikiwekeza ktk Maendeleo kwa ujumla. Ni kweli kuna uhusiano wa umaskini na watoto wengi ktk family. Sheria ya China kuruhusu kuzaa zaidi imebadilika karibuni tu. Usiwe simple minded.Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
Sasa umeanza kuongea kinyumbu, nani alate biashara kwenye nchi ambayo literally inawafukuza wawelezaji na inaona wenye hela kama ni wahaini. umezunguka wee ukarudi palepale tatzo sisi kama nchi hatujui tunataka nini na style hiyo huwez pata watu tangibleMkuu yako ni mawazo ya kilofa. Nigeria kwa wenye kuifahamu ni nchi maskini ingawa ipo juu yetu.
Kila anayekuja duniani anakuja na kipaji chake, anakuja na karama tofauti na ya mwingine. China imewatumia watu wake wengi kama soko la bidhaa zake.
Dangote na utajiri wake chanzo chake ni simenti inayouzwa humo humo Nigeria. Makampuni ya simu yanatajirika Nigeria kwa sababu ya soko, ambalo ni watu.
Usidanganywe na hawa kina Bill Gates na wazungu wengine ambao hawataki Afrika iwe na ongezeko kubwa la watu ili wabakie na utajiri wao.
Huwezi kukwepa changamoto ya maendeleo eti kwa kigezo cha wingi wa watu. Kumbuka kuwa nchi inaweza kubakia na umaskini wake licha ya uchache wa watu.
Mkuu yako ni mawazo ya kilofa. Nigeria kwa wenye kuifahamu ni nchi maskini ingawa ipo juu yetu.
Kila anayekuja duniani anakuja na kipaji chake, anakuja na karama tofauti na ya mwingine. China imewatumia watu wake wengi kama soko la bidhaa zake.
Dangote na utajiri wake chanzo chake ni simenti inayouzwa humo humo Nigeria. Makampuni ya simu yanatajirika Nigeria kwa sababu ya soko, ambalo ni watu.
Usidanganywe na hawa kina Bill Gates na wazungu wengine ambao hawataki Afrika iwe na ongezeko kubwa la watu ili wabakie na utajiri wao.
Huwezi kukwepa changamoto ya maendeleo eti kwa kigezo cha wingi wa watu. Kumbuka kuwa nchi inaweza kubakia na umaskini wake licha ya uchache wa watu.
Kama unavaa “suruali”, shati, kofia au saa ya mkononi, una simu, hukai nyumba ya nyasi, kama una computer, wewe ni mfuasi wa “MAWAZO YA KUPUMBAVU” ya wazungu!Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
Katikati hao hao wengi wanaozaliwa wanapatikana wachumi na wataalam wa sekta mbalimbali.Sasa umeanza kuongea kinyumbu, nani alate biashara kwenye nchi ambayo literally inawafukuza wawelezaji na inaona wenye hela kama ni wahaini. umezunguka wee ukarudi palepale tatzo sisi kama nchi hatujui tunataka nini na style hiyo huwez pata watu tangible
Tatizo kama nchi hatujui nin tunataka huyu akija anatupeleka hivi na mwingine tunaenda vile, Huwez pata tangible.wawekezaji utaishia kupata makusanyo ya yangeyange barabarani na viwanda vya matofali tukamuone kodi tu. Sasa sisi tu hapa 60m nanga inapaa unataka watu wafungulie zipu utawalisha watoto wa watu? hiyo ni utashi wa mtu kama anaona anao uwezo wa kubudumia familia yake well n good azae tu hata idadi ya mchanga lkn sio sababu eti mtu kasema.
Nadhani wewe sio mwenzetu, watoto kibao wapo tu mitaani shule wanayopata ni duni wanaishia kuimba tu nyimbo ili watoke, wengine wamekuwa madansa wafikir unatengeneza taifa la aina gani huko mbeleni. Wanao soma vizur ni watoto wanaojiweza anagalau.Katikati hao hao wengi wanaozaliwa wanapatikana wachumi na wataalam wa sekta mbalimbali.
Kumbuka kuwa USA na Russia hazikuendelea ndani ya mwezi mmoja tu. Sisi tuna miaka 57 tu ya uhuru. Tunauhitaji mchango wa kila anayezaliwa.
ni aibu sana kwa nchi .Kumbe alipinga kufyatuana, yeye akubali tu kufyatuana na kufyatua watoto yaishe
Mkuu usimkufuru Mungu kwa sababu ya umaskini wa unaowaona njiani. Tanzania imekuwa na dhambi ya ufisadi, hilo ni tatizo.Nadhani wewe sio mwenzetu, watoto kibao wapo tu mitaani shule wanayopata ni duni wanaishia kuimba tu nyimbo ili watoke, wengine wamekuwa madansa wafikir unatengeneza taifa la aina gani huko mbeleni. Wanao soma vizur ni watoto wanaojiweza anagalau.
Hivi kwa nini tunapenda kutoa tafsiri kinzani na kauli za Rais. Mpango wa Uzazi Bora siyo tu idadi ya watoto. Kuhusu idadi ya watoto, kwa nchi yetu, "kila mtu awe na watoto ambao anaweza kuwatunza" ndiyo tafsiri sahihi ya kauli ya Rais.Naona sasa mama yangu mambo yamekufika hapa. Japo kuwa kiubinadamu huko duniani ulikuwa sawa lakini hukuweza kusoma alama za nyakati. Hukuweza kumjua bwana mkubwa anataka nini.
Nakumbuka wakati mmoja JK aliwahi kutangaza idadi ya watu ambapo alishtuka sana baada ya kugundua kuwa mwaka 2012 wa Tz tulikuwa tumeongezeka sana na ndipo akaanzisha mpango wa kuhamasisha uzazi wa mpango. Wachumi tunaelewa na tutaendelea kuelewa athari za kufyatua hovyo hovyo kutokana na umasikini wetu.
Watu bado tuna omba omba sana halafu huku tunahamasisha ufyatuaji tena kwa kwenda mbere?
Zile NGOs ulizosema kuwa kuzuiwa kwao kutoa somo la kufyatua kwa mpango tutajiathiri wenyewe hatimaye zimekupeleka lupango bila bango. Pole sana kwa hilo.
Mzee anataka tufyatue na hapangiwi akishasema. Kina Ummy ngoma wanajua kuicheza bila kibao koma. Bado wapo wapo mama, bado wapo wapo sana. Nasi juhudi tunaziunga kwa kwenda kilimanjaro ingawa bado tupo chini ya mtaro kama mtatiro.
Labda alibaba wa kichina MTU sensitive anaogopa kurisk kwenye matamko.Wanaogopa sehemu zisizotumia Sheria.Sasa umeanza kuongea kinyumbu, nani alate biashara kwenye nchi ambayo literally inawafukuza wawelezaji na inaona wenye hela kama ni wahaini. umezunguka wee ukarudi palepale tatzo sisi kama nchi hatujui tunataka nini na style hiyo huwez pata watu tangible
Tatizo kama nchi hatujui nin tunataka huyu akija anatupeleka hivi na mwingine tunaenda vile, Huwez pata tangible.wawekezaji utaishia kupata makusanyo ya yangeyange barabarani na viwanda vya matofali tukamuone kodi tu. Sasa sisi tu hapa 60m nanga inapaa unataka watu wafungulie zipu utawalisha watoto wa watu? hiyo ni utashi wa mtu kama anaona anao uwezo wa kubudumia familia yake well n good azae tu hata idadi ya mchanga lkn sio sababu eti mtu kasema.
Tunahitaji miaka mingapi tuendelee???kwa miaka hii 57 tumeshauza kila kituKatikati hao hao wengi wanaozaliwa wanapatikana wachumi na wataalam wa sekta mbalimbali.
Kumbuka kuwa USA na Russia hazikuendelea ndani ya mwezi mmoja tu. Sisi tuna miaka 57 tu ya uhuru. Tunauhitaji mchango wa kila anayezaliwa.