Mama Suzan Kolimba, nani alikutuma uunge mkono juhudi za mabeberu za kutaka tusifyatue kwa kwenda mbele?

Do you mean the ONEMAN SHOW himself "MR. SIPANGIWI?"
Kwa sasa hakuna maandishi katika ukurasa huu.

Unaweza kutafuta jina la ukurasa huu katika kurasa nyingine, au tafuta kumbukumbu zina zohusika, lakini huruhusiwi ku quote comment hii.
 
Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
ni muda wa kuwa huru kifikra...hizi posho za NGOs zisitupumbaze
 
China wapo zaidi ya bilioni moja na hatuwafikii kiuchumi. Nigeria wapo zaidi ya milioni 170 na hatuwafikii kiuchumi hata kwenye masuala ya kiutamaduni na kijamii. Sisi ambao hatujafika milioni 60 ndio tuwe na hofu eti wingi wa watu ndio ukaribishaji wa umaskini!!.
 
China wapo zaidi ya bilioni moja na hatuwafikii kiuchumi. Nigeria wapo zaidi ya milioni 170 na hatuwafikii kiuchumi hata kwenye masuala ya kiutamaduni na kijamii. Sisi ambao hatujafika milioni 60 ndio tuwe na hofu eti wingi wa watu ndio ukaribishaji wa umaskini!!.
Acha uzuzu aisee, hivi wewe ni nyumbu la mbuga gani, maana wa Serengeti na mikumi kidogo wajanja. Bila shaka wewe utakuwa wa selou kwenye Stigila goji.
 

Uzuri ni kwamba mawaziri wote wameshajua jinsi ya kwenda nae sawa ili kulinda vibarua vyao.

Mtawajua fikra zao halisi baada ya yeye kumaliza kipindi chake.
Inategemea kipaumbele chako kipi tumbo au kutoinajisi taaluma yako.
 
Acha uzuzu aisee, hivi wewe ni nyumbu la mbuga gani, maana wa Serengeti na mikumi kidogo wajanja. Bila shaka wewe utakuwa wa selou kwenye Stigila goji.
Wewe ni mmoja wa wale watoto wa smartphone, watoto wa miaka ya juzi juzi. Mmezaliwa kitu cha kwanza kukifanya ni kujiunga facebook na twitter.
 
Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.

Hizo ajira za wazungu sisi tunapungukiwa nini ili hali hatutoi hata shilingi?!
 
Bwana yule neno lake ni sheria akiropoka usipolifuata anakutumbua
Kuna wengine wakienda kinyume huogopa kuwatumbua, mfano kule Tarime mara RPC kwa Amri ya tajiri wa madini maarufu kwa jina la MZUNGU aliwatuma Polisi kwenda kuwapiga wananchi wachimbaji wadogo wadogo kuwapora madini, pesa simu nk kisha kuwasweka ndani wakiwa na maumivu pasipo kupata matibabu, cha ajabu DC kaenda kaufunga mgodi na kuwathiri wachimbaji na kuikosesha Serikali mapato badala ya kumkata MZUNGU ambaye ndiyo chanzo cha mgogoro, kumbuka wakati Rais magufuli akiwa Tarime alikemea juu ya Tabia ya matajiri kuwapiga masikini kuwanyanyasa kisha kuwabambikia kesi, lakini haijapita hata mwezi wamerudia yale yale...! Wapo watendaji wengi wa Serikali hawaogopi maagizo ya Rais magufuli.
 
Naona sasa mama yangu mambo yamekufika hapa. Japo kuwa kiubinadamu huko duniani ulikuwa sawa lakini hukuweza kusoma alama za nyakati. Hukuweza kumjua bwana mkubwa anataka nini.

Nakumbuka wakati mmoja JK aliwahi kutangaza idadi ya watu ambapo alishtuka sana baada ya kugundua kuwa mwaka 2012 wa Tz tulikuwa tumeongezeka sana na ndipo akaanzisha mpango wa kuhamasisha uzazi wa mpango. Wachumi tunaelewa na tutaendelea kuelewa athari za kufyatua hovyo hovyo kutokana na umasikini wetu.

Watu bado tuna omba omba sana halafu huku tunahamasisha ufyatuaji tena kwa kwenda mbere?

Zile NGOs ulizosema kuwa kuzuiwa kwao kutoa somo la kufyatua kwa mpango tutajiathiri wenyewe hatimaye zimekupeleka lupango bila bango. Pole sana kwa hilo.

Mzee anataka tufyatue na hapangiwi akishasema. Kina Ummy ngoma wanajua kuicheza bila kibao koma. Bado wapo wapo mama, bado wapo wapo sana. Nasi juhudi tunaziunga kwa kwenda kilimanjaro ingawa bado tupo chini ya mtaro kama mtatiro.
Wanawake watapata taabu sana.
 
Back
Top Bottom