Mama Samia aisambaratisha Arusha

Sasa picha mbona unarudiarudia hapo khaaa sijaona mafurikooo arushaaaaaaaaa wanasubir ukawaaaaaa
 
Sasa picha mbona unarudiarudia hapo khaaa sijaona mafurikooo arushaaaaaaaaa wanasubir ukawaaaaaa
Na bado magufuri hajapita huko,huyo ni mgombea mwenza tu,bado kina kibajaji,nape,nyerere na wengine ambao nao wanashambulia kungine,mwaka huu hamtajua goli limeingiaje,ni mashambulizi ya kufa mtu kila upande nyie endeleeni kuzurura masokoni na kwenye daladala za dar
 
Naona mdau hujielew lol sasa hapo halaik iko wapi ww subirini jumamos muonyeshwe maana ya mabadilikoooo ndo mtaelewaaaaa lowasa ndo nan
 
CCM Hapa Arusha Ni Marehemu Wa Siku Nyingi Zilizopita,
Usijitekenye Mwenyewe Na Kucheka!
Mgombea Wake CCM ni Wakala Wetu UKAWA sasa.......
 
CCM Hapa Arusha Ni Marehemu Wa Siku Nyingi Zilizopita,
Usijitekenye Mwenyewe Na Kucheka!
Mgombea Wake CCM ni Wakala Wetu UKAWA sasa.......

Mbona hata lowassa bado ana kadi ya ccm.hulijui hilo nini mkuu,hajairudisha kadi si tunawachora tu,mtakuja kulia mbele ya safari
 
Unajua umbali wa tanga-arusha ww km hujui piga kimya acha kuandika pumba.
 
Kama kuna tatizo ninaloliona kwa CCM ni kujaza watu wenye uniform za njano na kijani.....wanamahesabu watanielewa....
 
Wadau wa picha na wataalam wa kugundua picha, nawaomba tunzeni kumbukumbu kwa front objects zilizo kwa foto ambazo huyo mama anapita hasa nyanda za kaskazini.
Mtagungua kuna kina mama ndiyo hap hao anaozunguka nao kwa hizo meeting's zake.

Kingine wapiga picha wa matukio hayo, nao wanalipwa kudungua foto zenye kuonesha foto object yenye ushawishi na mvuto kwa viewers.
So mimi #SIDANGANYIKI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…