Na bado magufuri hajapita huko,huyo ni mgombea mwenza tu,bado kina kibajaji,nape,nyerere na wengine ambao nao wanashambulia kungine,mwaka huu hamtajua goli limeingiaje,ni mashambulizi ya kufa mtu kila upande nyie endeleeni kuzurura masokoni na kwenye daladala za dar
Wadau wa picha na wataalam wa kugundua picha, nawaomba tunzeni kumbukumbu kwa front objects zilizo kwa foto ambazo huyo mama anapita hasa nyanda za kaskazini.
Mtagungua kuna kina mama ndiyo hap hao anaozunguka nao kwa hizo meeting's zake.
Kingine wapiga picha wa matukio hayo, nao wanalipwa kudungua foto zenye kuonesha foto object yenye ushawishi na mvuto kwa viewers.
So mimi #SIDANGANYIKI.