Mama Ntakamatwa!!!!

hatima ya maisha yako unayo wewe mwenyewe,maisha yako ya kesho ni matokeo ya maisha yako ya leo.
 
Nakuona kama marehemu mtarajiwa vile. Chagua maisha.
 
Hapo cha kufanya ni kumpiga chenga huku ukitafuta kazi sehemu ingine, ukipata kazi tu.
Fanya jambo boss wako akutimue hii itakunasua kutoka kweny tatizo kubwa endapo utakula mzigo wa boss wako.
Fikiri kabla ya kutenda
 
Ukitaka kufanya kama hicho jiulize kwanza kama ni wewe ukifanyiwa utajisikiaje..
Naamini hauna ndoto ya kuwa dereva wa huyo boss kwa maisha yako yote.
Inawezekana kabisa siku moja na wewe utakuwa boss, utakuwa na dereva wako kama wewe ulivyo dereva wa mtu kwa sasa.
Sasa fikiria pale ambapo mkeo unaempenda kwa moyo wako wote atakapokuwa anamegwa na dereva wako.
Pia fikiria kwa mfano labda kaka yako au rafiki yako ni boss mahali fulani, af shemejiyo (mke wa kaka yako au rafiki yako) awe ana megwa na either house boy au dereva wa kaka yako.
Au fikiria kwenu siku moja muwe maisha safi af dada zako au dada yako awe ana megwa na either house boy au dereva wenu.
Au unaonaje kwa mfano mama yako awe ana megwa either na house boy wenu au dereva wenu siku mambo yako yakiwa fresh?
Basi unapenda mamako, mke wako, dadako, mke wa kakako au rafiki zako wawe wanamegwa tu kisela na masela wa kitaa au shamba boy au house boy au madereva kama wewe nk, basi mega tu kaka, af siyo issue sana kama siku na wewe hao masela wakichoka kuwamega mama zako, mkeo, dada zako, shemeji zako, pia wakaamua kukumega na wewe.
 
the same old stories..kweli sasa naamini nimekua mtu mzima
 
Kataa tu, ukikubali utakuwa unajichimbia kaburi. Gangamala kama Yusufu.
 

mume wake akikuomba 0713 na kukutishia kuwa ukikataa anakutimua kazini, njoo jamvini tukushauri... umesikia mtoto?
 
acha kazi kwani leo ikitokea hiyo kazi haipo hutoishi?jibu ni hapana sasa piga chini kazi chapa raba kazi zinatafutwa uhai hautafutwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…