Lazia Sultan Senior Member Joined Jun 4, 2020 Posts 120 Reaction score 329 Aug 8, 2020 #1 Nikikutana na situation Kama hii, ni Mama Kwanza. 1. Boss ni mlugaluga hata elimu nimemzidi. 2. Baba ameparalaizi, mgonjwa. Data zake zote nazipata kwa mama 3. Mpenzi siyo ndugu yangu, hana uchungu na mimi. Ni ndugu wa mkataba.
Nikikutana na situation Kama hii, ni Mama Kwanza. 1. Boss ni mlugaluga hata elimu nimemzidi. 2. Baba ameparalaizi, mgonjwa. Data zake zote nazipata kwa mama 3. Mpenzi siyo ndugu yangu, hana uchungu na mimi. Ni ndugu wa mkataba.
chiko_bronx Member Joined Jul 11, 2020 Posts 68 Reaction score 88 Aug 8, 2020 #2 Kumbuka na ww ni mwanaume utazaa mtoto atampenda sana mama ake kuliko ww utajiskiaje???
Lazia Sultan Senior Member Joined Jun 4, 2020 Posts 120 Reaction score 329 Aug 8, 2020 Thread starter #3 chiko_bronx said: Kumbuka na ww ni mwanaume utazaa mtoto atampenda sana mama ake kuliko ww utajiskiaje??? Click to expand... Sijakuelewa mkuu
chiko_bronx said: Kumbuka na ww ni mwanaume utazaa mtoto atampenda sana mama ake kuliko ww utajiskiaje??? Click to expand... Sijakuelewa mkuu
chiko_bronx Member Joined Jul 11, 2020 Posts 68 Reaction score 88 Aug 8, 2020 #4 Nimekosea nikajua mtoa mada ww ni mwanaume kumbe ni mwanamke... Lazia Sultan said: Sijakuelewa mkuu Click to expand...
Nimekosea nikajua mtoa mada ww ni mwanaume kumbe ni mwanamke... Lazia Sultan said: Sijakuelewa mkuu Click to expand...
GeoMex JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 5,431 Reaction score 20,043 Aug 8, 2020 #5 chiko_bronx said: Nimekosea nikajua mtoa mada ww ni mwanaume kumbe ni mwanamke... Click to expand... Kwahiyo kama wewe ni mwanaume ndo unataka upendwe na wanao?? Mwanaume hapendwi mwanaume anaheshimiwa tu inatosha unazeeka zako vizuri kwa amani. Mwanaume ukitaka kuanza kupendwa utaishi kwa maumivu sana
chiko_bronx said: Nimekosea nikajua mtoa mada ww ni mwanaume kumbe ni mwanamke... Click to expand... Kwahiyo kama wewe ni mwanaume ndo unataka upendwe na wanao?? Mwanaume hapendwi mwanaume anaheshimiwa tu inatosha unazeeka zako vizuri kwa amani. Mwanaume ukitaka kuanza kupendwa utaishi kwa maumivu sana
Lazia Sultan Senior Member Joined Jun 4, 2020 Posts 120 Reaction score 329 Aug 8, 2020 Thread starter #6 GeoMex said: Kwahiyo kama wewe ni mwanaume ndo unataka upendwe na wanao?? Mwanaume hapendwi mwanaume anaheshimiwa tu inatosha unazeeka zako vizuri kwa amani. Mwanaume ukitaka kuanza kupendwa utaishi kwa maumivu sana Click to expand... Haswa! Wengi hawalijui hilo.
GeoMex said: Kwahiyo kama wewe ni mwanaume ndo unataka upendwe na wanao?? Mwanaume hapendwi mwanaume anaheshimiwa tu inatosha unazeeka zako vizuri kwa amani. Mwanaume ukitaka kuanza kupendwa utaishi kwa maumivu sana Click to expand... Haswa! Wengi hawalijui hilo.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,432 Reaction score 176,372 Aug 8, 2020 #7 chiko_bronx said: Kumbuka na ww ni mwanaume utazaa mtoto atampenda sana mama ake kuliko ww utajiskiaje??? Click to expand... La kujiuliza ni why mama na sio baba? Sio kuanza kulialia. Sent using Jamii Forums mobile app
chiko_bronx said: Kumbuka na ww ni mwanaume utazaa mtoto atampenda sana mama ake kuliko ww utajiskiaje??? Click to expand... La kujiuliza ni why mama na sio baba? Sio kuanza kulialia. Sent using Jamii Forums mobile app
David Harvey JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 3,114 Reaction score 6,755 Aug 8, 2020 #8 siangalii nani ametuma ila naangalia sms gani ina umuhimu