Napenda kujua nini hasa tatizo kwa Mabinti wa Siku hizi huwa hawawapendi Mama wa Mme wake, Nina Mfano hai mingi tu, Kijana unaishi vyema na upendo tu na ndugu zako huko especially Mama, Baba, Kaka na Dada zako, ila tatizo linakuja pale unakuja kuoa tatizo ndio ninaanza kwa Mkeo kuwachukia ndugu zako kwa kuwawekea makosa yasiyo yao ili tu mtofautiane katika familia yako, huku yeye ndugu zake akipaka asali kwa sifa na matendo mema.
Kwako ndugu yako akija kosa ila yeye atakujazia Wadogo zake Lundo kweli jaman ndio haki hii ya Ndoa hizi za digital? Kama umempenda Mme Mpende na Ndugu zake na Sio kuwachonganisha.
80% wanashindwa kuwasomesha ndugu zake ila yupo radhi kusomesha shemejiiiiiiiiii
Ni Mtazamo wangu wapendwa
Kwako ndugu yako akija kosa ila yeye atakujazia Wadogo zake Lundo kweli jaman ndio haki hii ya Ndoa hizi za digital? Kama umempenda Mme Mpende na Ndugu zake na Sio kuwachonganisha.
80% wanashindwa kuwasomesha ndugu zake ila yupo radhi kusomesha shemejiiiiiiiiii
Ni Mtazamo wangu wapendwa