Tatizo lake huyu Mkwere hataki kukutana na wale wanaotaka mageuzi. Kwa nn asikutane na Wahadhiri wenye madai mbali mbali ama haoni umuhimu wao ktk jamii yetu? Wafanyakazi wana madai yao, instead of talking 2 them, yy kaenda ongea na wanachama wenzie kwa kivuli cha wazee ..... Uwasilishaji hovyo kwa hadhara hovyo.