Nina imani na Mama Lowassa, kumbe ni mwanamke mwerevu, jasiri, anaekubalika kwenye jamii na asiyekuwa na uchu wa madaraka. Haya ameyaonyesha kwa vitendo wakati wa kampeni za mume wake, na sasa hivi amekataa kujaza nafasi aliyopewa ya ubunge wa viti maalum ili kupisha wanawake wanzeke wenye uhitaji huo wachukue nafasi hiyo.
Ukawa kama mna akili zenye maono tafadhalini mkumbatieni huyu mama kuanzia sasa, huenda akawa kete muhimu sana kwa UKAWA kwenye uchaguzi wa 2020 katika ngazi ya urais. Mbembelezeni sana hata kama yeye mwenyewe hana mpango huo. Tumechoka kuona watu wenye ndevu waliovaa suluali katika kila uchaguzi wasioshinda.
Kuanzia leo anzeni mchakato kapambe wa kumpatia mama huyu tume huru ya uchaguzi na katiba inayoruhusu matokeo ya urais kuweza kuhojiwa mahakamani, mtaona maajabu makubwa 2020.
Ukawa kama mna akili zenye maono tafadhalini mkumbatieni huyu mama kuanzia sasa, huenda akawa kete muhimu sana kwa UKAWA kwenye uchaguzi wa 2020 katika ngazi ya urais. Mbembelezeni sana hata kama yeye mwenyewe hana mpango huo. Tumechoka kuona watu wenye ndevu waliovaa suluali katika kila uchaguzi wasioshinda.
Kuanzia leo anzeni mchakato kapambe wa kumpatia mama huyu tume huru ya uchaguzi na katiba inayoruhusu matokeo ya urais kuweza kuhojiwa mahakamani, mtaona maajabu makubwa 2020.