Mwanamke anayefahamika kwa jina la Ronke Olayinka amekamatwa na Polisi baada ya kumfanyia unyama mtoto wake anayejulikana kwa jina la Abdulahi Taoreed baada ya kumkuta akila kwenye Party flani.
Good! nipo upande wa huyu mama hii mitoto ya siku hzi ukiidekeza ndiyo hyo hiyo inayokuja kuwa vibaka! dogo kama huyo kwenye mapart anaenda kufanya nini huko! mama yupo right
Ukatiri kama huu umekuwepo muda mrefu ila hapakuwepo na vyombo vya kuufichua kama sasa. Ni tabia ya akina mama wengi Afrika kuwaadhibu watoto bila kujali ukubwa wa kosa na uwezo wa mtoto kufakiri!
Good! nipo upande wa huyu mama hii mitoto ya siku hzi ukiidekeza ndiyo hyo hiyo inayokuja kuwa vibaka! dogo kama huyo kwenye mapart anaenda kufanya nini huko! mama yupo right