Ndo desturi yetu watanzania na waafrika kwa ujumla, kufungua mdomo wakati wa kula ama kutafuna. Ni nadra sana utamkuta mtanzania anatafuna huku akiongea, huyo labda atakuwa anatafuna big g au karanga za jero. Lakini banzoka japo ndogo ni tamu hiyo atamumunya na ataufunga mdomo..
Nimeamka asubuhi hii katoto changu kananiambia Jana hamu na pipi nikakaangalia nikacheka. Nataka nikanunulie Ili kasinipigie makelele katulie..
NB: nawaza mkosoaji akikaribishwa kwenye tume ya mipango bado ataongea?? Kuna mmoja alipewa karamu kule uswidi (nchi za scanavia) alinyamaza mpaka alipomaliza kula dinner Ile.
Halafu mama wale wema washachafuliwa taswira Yao sana na walaku hivyo hata wakifanyiwa vetting wataonekana hawafai (Yani walivikwa sifa mbaya ambazo SI zao)
Nimeamka asubuhi hii katoto changu kananiambia Jana hamu na pipi nikakaangalia nikacheka. Nataka nikanunulie Ili kasinipigie makelele katulie..
NB: nawaza mkosoaji akikaribishwa kwenye tume ya mipango bado ataongea?? Kuna mmoja alipewa karamu kule uswidi (nchi za scanavia) alinyamaza mpaka alipomaliza kula dinner Ile.
Halafu mama wale wema washachafuliwa taswira Yao sana na walaku hivyo hata wakifanyiwa vetting wataonekana hawafai (Yani walivikwa sifa mbaya ambazo SI zao)