Mali za Mr. James...James Jeddah

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,914
Reaction score
141,712
Nyonda wa Bw. James...James Jeddah akizungusha nyonga huku kibao cha yule mfalme wa miduara Afrika Mashariki na Kati Bw. Ali Tall almaaruf kama AT kikisikika.

Kwa nyonga hiyo sina shaka yoyote kabisa kuwa Bw. James...James Jeddah anafaudu kamani!

Mie hapa nimeishia kupatwa na sulika kila niiangaliapo hii video.

Oh..kama ulikuwa hujui, nyonda wa Bw. James...James Jeddah ni Bi. Kasinde au almaaruf kama Kasie.

Furahieni mkionacho na nawatakieni Alkhamis njema!

 
Mbona anafanana sana na yule wa ng'aring'ari ya clouds tv?
 
Hivi akimaliza kucheza kama hivyo, ashki hazijamkamata kweli!!!
 
..Mimi mwenyewe nimepatwa na sulika Japo sijui ndo nini!!
 


Kasinde aka Kasie ni nyonda wa ........ (Edited)😡😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…