MALENGO YA WANAFUNZI KUSOMA REMEDIAL !

MALENGO YA WANAFUNZI KUSOMA REMEDIAL !

PAFECT

Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Naomba kuuliza wanajamiiforum ivi ule utaratibu wa wanafunzi wa shule za sekondari kurudi shule kusoma masomo ya Jioni ( Remedial ) , na kutiliwa mkazo sana na serikali za sasa,,, Ni kweli mpango huo unalenga kuwabana baadhi ya watu kusoma masomo ya dini (Madrasa).
 
Back
Top Bottom