MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,051
Habari wakuu,
Siku za hivi karibuni mh. Membe amekuwa akiikosoa Serikali ya Magufuli, kitendo hiki kimeanza kumjengea maadui ndani ya chama hicho kiasi kwamba kumekuwa na matamko ya jumuia mbalimbali za chama hicho na wanachama wengine wa chama hicho, Membe angeishia hapohapo tu angeonekana anatumia demokrasia yake ya kukikosoa chama chake, lakini akanukuliwa akitoa kashfa kwa ukawa hapa ndipo alipofanya kosa ambalo atakuja kulijutia hapo baadaye.
Lakini pamoja na makosa haya ya Membe bado nikiri kuwa ni makosa yanayosameheka kama ataomba msamaha kwa upande wowote iwe ukawa au ccm. Mtu ambaye hata akiomba samahani kwa upande wowote iwe ccm au ukawa hawezi kupokelewa ni Sitta huyu alikuwa ni msaliti kwa pande zote za vyama vya siasa yaani, chama tawala na vya upinzani, lakini wananchi hawatamsahau kwa kuwaharibia nafasi nzuri ya kupata katiba mpya kwa njia ya amani bila kumwaga damu, kitendo chake hicho kilipelekea hasara kubwa sana ya fedha ya walipa kodi wa Tanzania.
Siku za hivi karibuni mh. Membe amekuwa akiikosoa Serikali ya Magufuli, kitendo hiki kimeanza kumjengea maadui ndani ya chama hicho kiasi kwamba kumekuwa na matamko ya jumuia mbalimbali za chama hicho na wanachama wengine wa chama hicho, Membe angeishia hapohapo tu angeonekana anatumia demokrasia yake ya kukikosoa chama chake, lakini akanukuliwa akitoa kashfa kwa ukawa hapa ndipo alipofanya kosa ambalo atakuja kulijutia hapo baadaye.
Lakini pamoja na makosa haya ya Membe bado nikiri kuwa ni makosa yanayosameheka kama ataomba msamaha kwa upande wowote iwe ukawa au ccm. Mtu ambaye hata akiomba samahani kwa upande wowote iwe ccm au ukawa hawezi kupokelewa ni Sitta huyu alikuwa ni msaliti kwa pande zote za vyama vya siasa yaani, chama tawala na vya upinzani, lakini wananchi hawatamsahau kwa kuwaharibia nafasi nzuri ya kupata katiba mpya kwa njia ya amani bila kumwaga damu, kitendo chake hicho kilipelekea hasara kubwa sana ya fedha ya walipa kodi wa Tanzania.