Ndugu wanajamvi hii ni hatari kwa taifa na watoto wetu.kufuatia uongozi uliopo madarakani kwa sasa chini ya headmaster col.MWANGASI na wasaidizi wake kufuja pesa mpaka kufikia kushindwa lipa mishahara na posho za walimu,mpaka leo tar.9/11/2013 walimu raia na askari hawajalipwa mishahara ya october.Hivyo walimu wako katika mgomo usio rasmi na walimu toka alhamisi na ijumaa wako katika vikao visivyo isha hivyo kupelekea wanafunzi wa kidato cha sita,tano,tatu na kwanza kukosa masomo! cha kujiuliza ada zimelipwa? jibu ni ndio,kwa mkataba wa kazi hii shule ni mali ya JWTZ na mmiliki ni CHIEF OF DEFENCE FORCE(CDF)(GEN.DAVIS MWAMNYANGE) je anajua haya? kama ufisadi mpaka jwtz where is patriotism to these guys?_source;NIPO NDANI YA TUKIO