Makonda, ukimwona panya anamchezea sharubu paka ujue shimo liko karibu

ebaeban

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
2,205
2,695
Makonda nimekusikia sana sauti yako katika tukio la ufunguzi wa reli ya kisasa(standard gauge) hapo Pugu. Ulikuwa unasema kwa kujiamini na unatamba sana eti wewe hutishiki na mtu yoyote, sawa hutishiki. Hutishiki kwa sababu mkuu wa kaya kakukumbatia, kwani akikuachia kwa maana akupokonye vimadaraka hivyo alivyokupatia hutosema tena kwa kujidai kama ulivyokuwa unasema leo.

ASETABAHU.
 
Makonda nimekusikia sana sauti yako katika tukio la ufunguzi wa reli ya kisasa(standard gauge) hapo Pugu. Ulikuwa unasema kwa kujiamini na unatamba sana eti wewe hutishiki na mtu yoyote, sawa hutishiki. Hutishiki kwa sababu mkuu wa kaya kakukumbatia, kwani akikuachia kwa maana akupokonye vimadaraka hivyo alivyokupatia hutosema tena kwa kujidai kama ulivyokuwa unasema leo.

ASETABAHU.
Aliebebwa hajui umbali mwache mda utaongea
 
1.Umoja wa Taifa
2. Kulinda Muungano wa Tanzania.
3. Ulinzi na usalama
4. Kuheshimu mihimili ya Dola.
5. Mahakama maalum ya mafisadi na majizi
5. Utawala bora
7. Ataheshimu mawazo yote ya kuleta maendeleo hata yakitoka upinzani
8. Ataimarisha vyombo vya usalama
9. Vita dhidi ya ubadhirifu
10. Kodi ilipwe na wote
11. Ataongeza ajira kwa kuimarisha viwanda vya ndani
12. Sekta ya kilimo itaimarishwa
13. Sekta ya mifugo itaimarishwa ili iwe na tija kwa kujenga viwanda
14. Madini yatadhibitiwa ili yalete maendeleo
15. Maji yatapelekwa Vijijini na mijini
16. Zahanati kila kijiji, Hospitali ya rufaa kila mkoa, kuboresha maslahi ya wauguzi
17. Elimu bure hadi kidato cha nne, nyumba za walimu zitajengwa.
18. Wanafunzi wa vyuo vikuu, atahakikisha mikopo inakwenda mapema ili wasome
19. Kujenga hostel za mwana vyuo
20. Maslahi ya watumishi, kila mtu anayefanya kazi atapata haki yake.
21. Gesi itasimamiwa vyema ili isaidie nchi
22. Barabara zitaboreshwa, flyovers kujenga ya kwanza salander, tazara
23. Msongamano Dsm utashughulikiwa
24. Reli itajengwa upya
25. Bandari, anga zitaboreshwa
26. Maslahi ya maliasili yataboreshwa ili watalii wengi waje ili tupate pesa
27. Serikali itakuwa rafiki kwa wawekezaji wenye nia njema
28. Maslahi ya wafanyakazi yatalindwa
29. Walemavu watalindwa na haki zao zitalindwa
30. Uhuru wa Habari utalindwa na atakuwa na waandishi karibu
31. Wasanii na wanamichezo haki zao zitalindwa, kutakuwa na Mfuko maalum kwa ajili hiyo
32. Reli ya Dar itajengwa.
Duu hii LITANIA ya nani?
 
1.Umoja wa Taifa
2. Kulinda Muungano wa Tanzania.
3. Ulinzi na usalama
4. Kuheshimu mihimili ya Dola.
5. Mahakama maalum ya mafisadi na majizi
5. Utawala bora
7. Ataheshimu mawazo yote ya kuleta maendeleo hata yakitoka upinzani
8. Ataimarisha vyombo vya usalama
9. Vita dhidi ya ubadhirifu
10. Kodi ilipwe na wote
11. Ataongeza ajira kwa kuimarisha viwanda vya ndani
12. Sekta ya kilimo itaimarishwa
13. Sekta ya mifugo itaimarishwa ili iwe na tija kwa kujenga viwanda
14. Madini yatadhibitiwa ili yalete maendeleo
15. Maji yatapelekwa Vijijini na mijini
16. Zahanati kila kijiji, Hospitali ya rufaa kila mkoa, kuboresha maslahi ya wauguzi
17. Elimu bure hadi kidato cha nne, nyumba za walimu zitajengwa.
18. Wanafunzi wa vyuo vikuu, atahakikisha mikopo inakwenda mapema ili wasome
19. Kujenga hostel za mwana vyuo
20. Maslahi ya watumishi, kila mtu anayefanya kazi atapata haki yake.
21. Gesi itasimamiwa vyema ili isaidie nchi
22. Barabara zitaboreshwa, flyovers kujenga ya kwanza salander, tazara
23. Msongamano Dsm utashughulikiwa
24. Reli itajengwa upya
25. Bandari, anga zitaboreshwa
26. Maslahi ya maliasili yataboreshwa ili watalii wengi waje ili tupate pesa
27. Serikali itakuwa rafiki kwa wawekezaji wenye nia njema
28. Maslahi ya wafanyakazi yatalindwa
29. Walemavu watalindwa na haki zao zitalindwa
30. Uhuru wa Habari utalindwa na atakuwa na waandishi karibu
31. Wasanii na wanamichezo haki zao zitalindwa, kutakuwa na Mfuko maalum kwa ajili hiyo
32. Reli ya Dar itajengwa.
Ngoja tusubirie
 
Makonda nimekusikia sana sauti yako katika tukio la ufunguzi wa reli ya kisasa(standard gauge) hapo Pugu. Ulikuwa unasema kwa kujiamini na unatamba sana eti wewe hutishiki na mtu yoyote, sawa hutishiki. Hutishiki kwa sababu mkuu wa kaya kakukumbatia, kwani akikuachia kwa maana akupokonye vimadaraka hivyo alivyokupatia hutosema tena kwa kujidai kama ulivyokuwa unasema leo.

ASETABAHU.

Nimeipenda ukiona Panya anachezea sharubu za paka basi shimo liko karibu.Ila inategemea umbali wa shimo na Paka.
 
Ni utamaduni wa rangi nyeusi kaka..

na wewe pia ni mhanga wa utamaduni huo huo wa mtu mweusi. Ni legacy ya kuwa na machifu wa makabila, walikuwa hawakosolewi.

Kwa hiyo mpaka leo mtu akimkosoa kiongozi anaulizwa, kakuchukulia mkeo?

Sababu moja kubwa ya kukosoa inayokubalika kwa mwafrika ni kugombania mwanamke. Sio haki za msingi za kiraia, kiuchumi, kiusalama, kielimu.
 
Kisayansi kuna mimea inaitwa "parasite" mfano ni huo kwenye picha

sany0007.jpg
 
Back
Top Bottom