Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
vyeti sio matak.o useme kila mtu anavyo.
Ah ah ah!baraka zinaenda kwa mtu mwingineMungu anamtambua kwa jina lake la ubatizo Daudi Albert Bashite hata tukitaka kumwombea tumwombee kwa jina hili lakini tukimwombea kwa jina la Paul Makonda anayebarikiwa ni yule mtangazaji wa Tabora
Kweli yupo juu halafu amevaa msuli mambo yote hadharani, watu wanamchungulia yeye anadhani wanamfurahiaKweli Makonda yupo juu, kla mtu usingizi hapati kwa ajili yake
Hata mimi ntashukuru kupata jibu kutoka kwake ...sasa mimi nawaza tu kwa sauti, uho uhakiki wa vyeti uliokuwa unafanyika hasa ulikua unamlenga nani? kama sasa hivi unaona hakuna umuhimu wa kuhoji vyeti, asante kama utanijibu
Kwanini mlifanya zoezi la kuhakiki Vyeti....achaca HIZO weeNa bado mtaisoma namba, mlimzoea huyo huyo jk, hii awamu mtarudi vijijini kulima,shwain
Hawezi kukujibu hyosasa mimi nawaza tu kwa sauti, uho uhakiki wa vyeti uliokuwa unafanyika hasa ulikua unamlenga nani? kama sasa hivi unaona hakuna umuhimu wa kuhoji vyeti, asante kama utanijibu
Hata mimi ntashukuru kupata jibu kutoka kwake ...
Ama kweli nyani aoni kundule; wale walomchafua EL leo wanasema sio wao ila JK. Mungu anaujua mpango wenu na hautafanikiwa kamwe. kama ulikua hujui "Mungu ni mwema".Mimi bado nailaumu familia ya msoga ni kwanini huyu bwana walilitoa jina la Lowassa kisa shemejie wa mtama? Hii ndio iliingiza hasira ndipo ccm ikapata mental paralysis na kumchagua asiyefaa huku wakijua? Sasa taxama linchi halijapata jema na budget inaenda mwisho halafu bado Mzee wa mzoga no msoga anapenyeza figisu kupitia utawala huu kumbana lowassa asiweze kufanya siasa kupitia kufungia mikutano ya hadhara, Sasa serikali hii inawaza vyama badala ya maendeleo hakika huu utawala umeshafitinika hauna uhai tena subiri 2020 na naomba Lowassa ugombee uone wale jamaa wa msoga watakavyougua matetekuanga
Hana Haedo kukujibu huyuuu [HASHTAG]#warumi[/HASHTAG]hajanijibu mpaka sasa
Kwa hiyo warumi unatuaminisha kumba wale woote waliofukwazwa kwa kukosa sifa ya kuwa wafanyakazi kwa kukosa sifa au vyeti husika nao warudi makazini onl in TanzaniaKuna viongozi wakubwa serikalini wenye elimu kubwa na vyeti vizuri lakini linapokuja suala la utendaji kazi ni sifuri, uwajibikaji ni mbovu, hata kama ikibainika ni kweli makonda alitumia vyeti feki bado wananchi tunamuhitaji sana especially kwenye kipindi kama hiki,makonda amefanya mambo makubwa na magumu ambayo viongozi hao mnaosema wasomi wa vyeti original hawakuvifanya, makonda ni kijana jasiri na mwenye uthubutu,Tanzania tunahitaji kiongozi kama makonda, Mungu ana makusudi kutuletea makonda,nyie endeleeni kupiga makelele but still makonda ataendelea kuwa makonda.
Na gwajima kama unadai una vyeti vya makonda kabla haujavitoa hadharani tunakuomba mtumishi wa Mungu utuonyeshee vyeti vyako na wewe ulivyosomea uchungaji,hapo utakua umefuta mzizi wa fitina.
Siku hizi hiri gazeti haliandiki uharisia, Wanahabari wamegeuka kuwa watabiri war mambo yajayo ili kuendana na kasi yao ya zamani. Wafunge tu watafute kazi nyingine, siku hizi siri hazivuji. By the way kutabiri pia kunaruhusiwa ila sasa wawe wanaonesha kwamba ni utabiri tu.
AiseeeNa bado mtaisoma namba, mlimzoea huyo huyo jk, hii awamu mtarudi vijijini kulima,shwain
Wakufanya kazi halali ni Daudi bashite. Ujanja ujanja kaingia kwenye 18 za watanzania .tunae huyu labda akimbie nchiPovuu hahaa! utakomaaa kitumbua kimeingia mchanga! Fanya kazi halali wewe acha janjajanja
Mkuu leo umepatwa na nini mpaka umekuja hili jukwaa mbali na celebrities forum?Kuna viongozi wakubwa serikalini wenye elimu kubwa na vyeti vizuri lakini linapokuja suala la utendaji kazi ni sifuri, uwajibikaji ni mbovu, hata kama ikibainika ni kweli makonda alitumia vyeti feki bado wananchi tunamuhitaji sana especially kwenye kipindi kama hiki,makonda amefanya mambo makubwa na magumu ambayo viongozi hao mnaosema wasomi wa vyeti original hawakuvifanya, makonda ni kijana jasiri na mwenye uthubutu,Tanzania tunahitaji kiongozi kama makonda, Mungu ana makusudi kutuletea makonda,nyie endeleeni kupiga makelele but still makonda ataendelea kuwa makonda.
Na gwajima kama unadai una vyeti vya makonda kabla haujavitoa hadharani tunakuomba mtumishi wa Mungu utuonyeshee vyeti vyako na wewe ulivyosomea uchungaji,hapo utakua umefuta mzizi wa fitina.