naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,066
Wewe baki na fani ya umbea hatutaki double standard kuna walimu,manesi,mamesenja kibao wamefukuzwa kazi kwa kuwa na vyeti feki na wengi walikua wanafanya kazi zao vizuri tu tena kuna baadhi wamepiga kazi more than 10 yrs kwa nini kuwe na upekee kwenye issue hii