Kaa mguu sawa lofa wewe! huyo ndo amiri jeshi na president wa Dar es salaam
majungu. hao ambao wanasoma ni wakuu wa nini leo.
leadership has nothing to do with A grades.
poteza muda mwingi kwenye vipaji vyako itakusaidia.
Uzi umeandikwa hivi "Makonda enzi hizo" na picha haina maelezo yoyoteMkuu kwa hili umezingua...umetoa hii mada kishari..mtoa mada acha wivu wa ajabu bhana...hyo picha ni zaid ya miaka 3 unaleta hapa inamaana wewe hujaacha tabia yako ya kuingia na vibuti??....si vzuri muache jamaa afanye kazi tutamjudge kwa kazi aliyopewa!..kuwa kiakili basi na hyo degree yako moja ya Maendeleo ya jamii!....SIVIZURI
Mbona unatoa maelezo meengi wakati, mtoa mada amesema Makonda enzi hizo! Tatizo liko wapi? Mbona unajishuku?Mkuu kwa hili umezingua...umetoa hii mada kishari..mtoa mada acha wivu wa ajabu bhana...hyo picha ni zaid ya miaka 3 unaleta hapa inamaana wewe hujaacha tabia yako ya kuingia na vibuti??....si vzuri muache jamaa afanye kazi tutamjudge kwa kazi aliyopewa!..kuwa kiakili basi na hyo degree yako moja ya Maendeleo ya jamii!....SIVIZURI