Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,442
Naamini sana maombi ya Mwamposa , lakini nakataa Mtume huyu kujaribiwa kama vile Yesu alivyojaribiwa na Shetani .
Makonda si msemaji wa Ikulu , hawezi kuleta uongo kwamba kabeba salamu za Rais kwenye Vuka na chako , hizi ni siasa duni sana .
Nikiwa kama muamini Mungu na muamini matendo Makuu ya Mungu napinga wanasiasa duni wenye makando kando kujichomeka kwenye nyumba za ibada .
Natoa wito kwa Viongozi wa dini na Manabii kuepuka kujivunjia heshima kwa kujaribu kuwakumbatia viongozi wahuni kwa style ya mchongo , Mungu hataniwi .
Naomba kuwasilisha .
Makonda si msemaji wa Ikulu , hawezi kuleta uongo kwamba kabeba salamu za Rais kwenye Vuka na chako , hizi ni siasa duni sana .
Nikiwa kama muamini Mungu na muamini matendo Makuu ya Mungu napinga wanasiasa duni wenye makando kando kujichomeka kwenye nyumba za ibada .
Natoa wito kwa Viongozi wa dini na Manabii kuepuka kujivunjia heshima kwa kujaribu kuwakumbatia viongozi wahuni kwa style ya mchongo , Mungu hataniwi .
Naomba kuwasilisha .