johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,962
- 141,961
Ni kuhusu mazungumzo yake ( Tundu Lisu) aliyoyafanya huko Ulaya kupitia shirika la utangazaji BBC.
Makonda amesema maneno haya, nanukuu
''Watanzania wamsamehe kaka yangu Tundu Lissu kwani yeye bado mgonjwa. Sasa kama bado mgonjwa inawezekana kichwani bado mambo hayajakaa vizuri, na ndio maana anahitaji matibabu, na akitoka kule tumuombe Spika amfikishie Milembe, aendelee kumhudumia."
Makonda amesema maneno haya, nanukuu
''Watanzania wamsamehe kaka yangu Tundu Lissu kwani yeye bado mgonjwa. Sasa kama bado mgonjwa inawezekana kichwani bado mambo hayajakaa vizuri, na ndio maana anahitaji matibabu, na akitoka kule tumuombe Spika amfikishie Milembe, aendelee kumhudumia."