Wanaomjua na kumuelewa Arnold ni wa kitambo (Past Sell by Date) ni kama nikiwaongelea kina Lee Van Cliff au Humphrey Bogart, Naweza kusema huenda kwenye hili anajiletea yeye na sio Wana Arusha....
Hizo pesa bora angetengeza AI / Animation ya kina Simba, Mufasa, Nala, Scar, Rafiki na Pumbaa. Na kuwatembeza kitaa kama vile ambavyo Robot Eunice wa Nape kule Bungeni....
Hii nchi ni Tamthiliya tosha.....