Makomando Israel Walivoteka Wairan Majuzi

Makomando Israel Walivoteka Wairan Majuzi

Highlander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
3,093
Reaction score
1,077
Kumbe ni kweli Iran ina mpango wa kuifuta Israel kutoka kwenye ramani ya dunia!

Hapa nakupa Mkanda, Kuonesha njama za Iran kupeleka silaha za maangamizi Gaza
kwa ajili ya kuwamaliza waisrael jinsi zilivodhibitiwa na jeshi imara sana la wanamaji wa israel.


 
Last edited by a moderator:
Mchina wangu hafungui sema ni type neno gan huku you tube
 
Never reciprocate the truth ndo maana wachangiaji wanavyosoma heading yako tu wamepuuzia...hakuna meli ambayo inaruhusiwa kwenda GAZA ata km ni ya abiria sembuse ya mizigo? meli imekua intercepted 1500KM away from Israel na ilikua inaelekea SUDAN na meli ili iweze kufika gaza lazima ipite SUEZ CANAL which is under control of EGYPT na hawawez ruhusu..silaha zilizokutwa zimetengenezwa SYRIA
 
Never reciprocate the truth ndo maana wachangiaji wanavyosoma heading yako tu wamepuuzia...hakuna meli ambayo inaruhusiwa kwenda GAZA ata km ni ya abiria sembuse ya mizigo? meli imekua intercepted 1500KM away from Israel na ilikua inaelekea SUDAN na meli ili iweze kufika gaza lazima ipite SUEZ CANAL which is under control of EGYPT na hawawez ruhusu..silaha zilizokutwa zimetengenezwa SYRIA

samahani. sijakuelewa unasema nini hapo sasa mkuu. au unataka kusema video hii ni animation za studio? au?
stori yenye hii video inaonesha interception ilikuwa mbali, lakini ilikuwa preemptive action ya kijeshi. ni kweli meli ilikuwa inaenda sudan. wangesubiri warhead ikafika sudan ingekuwa ngumu kuvuruga mpango huo. kwa mujibu wa taarifa hizo silaha zingevushwa kwenda Gaza kutokea Sudan. Hapakuwa na mpango wa kupitia Suez Canal. au we unataka kusema nini hasa.
 
Back
Top Bottom