In short: Ipo Arusha....Arumeru.....kataya Makiba. Panda DCM A.town kwenda Mirerani (A.K.A zaire/vila) : ukifika Ukifika mirerani Panda toyo .a sio T-BBETER wala King LION kufika makiba sec kama buku 3 hivi. Unaweza pia kutokea kikatiti ukaingia Makiba. Au ukitoka KIA kwenda Mirerani .....utashuka njiani kukata kulia.
Nirushie hata buku basi mwanangu maana nimechoka kuandika!