Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,306
- 83,741
Kwahiyo unataka kusema hata shetani naye anavyotufanya wanadamu tutende dhambi yeye hana dhambi na mwisho wa siku ataenda mbinguni si ndiyo??Hana kosa, mfn nimekwambia ukaibe, ukakamatwa, nani atakuwa na kosa?
Unasema huyo mwanaume hana kosa kwani hajui kwamba anachokifanya siyo kizuri na wewe nijibu kwanini mwanaume aombe na kama hana kosa elezea kwanini unasema hana kosa??