Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,301
- 83,719
Kwahiyo mwanaume anayeomba hana makosa siyo??Ila ww ndio mwenye ridhaa ya kukubali au kukataa... au ndio maana wanasemaga wanawake wanaakili kama za kuku, au kama mtoto mdogo
Kwahiyo mwanaume anayeomba hana makosa siyo??Ila ww ndio mwenye ridhaa ya kukubali au kukataa... au ndio maana wanasemaga wanawake wanaakili kama za kuku, au kama mtoto mdogo
Naona dawa inaanza koleaKama kuna mnafiki nazani huyu mama kazidi. Kuolewa kungekuwa kutamu yeye mbona hana mume?? Au ana kiserengeti chake
Wengine wazuri lakini ukitaka kuongea nae ni shider sana. Mama ni mwenyekiti wa WAWATA na Baba ni mzee wa kanisa. Wambea wa kupeleka habari ni wengi sana.Hata huko kuna Uwata yani kanisani kuna watoto wazuri hatari siku hizi sikosi kanisani kila jumapili..kanisani ni muhimu sana haswa ukiwa hujaoa
Cha muhimu ni kupata tarakimu zake, juzi nimeona mtoto mmoja yupo vizuri hatari sema kuna mmama alikua ananitolea macho vibaya mno, niliishia kugeuza shingo kila nikigeuka yule mama ananitolea macho daah...Wengine wazuri lakini ukitaka kuongea nae ni shider sana. Mama ni mwenyekiti wa WAWATA na Baba ni mzee wa kanisa. Wambea wa kupeleka habari ni wengi sana.
Huyo atakua shangazi au mtoto wa shost yake.Cha muhimu ni kupata tarakimu zake, juzi nimeona mtoto mmoja yupo vizuri hatari sema kuna mmama alikua ananitolea macho vibaya mno, niliishia kugeuza shingo kila nikigeuka yule mama ananitolea macho daah...
Sasa hivi ni moja ya porn video zenye views nyingi Afrika kwenye website ya Xvideos tabu tupu kwa uyu dada
Ifike muda tuache kuishi kwenye dunia ya kufikirika tuje kwenye uhalisia!! Hao wanawake unaowasema wewe ambao wakifikisha miaka 25 hawajaolewa wasahau ni wanawake wa dunia gani??Tatizo wanaringa sana bila kujua kila mwaka ingizo jipya laingia mjini.
Soon fForm Four haooo mtaani. Mwanamke ukifikisha 25 hujaolewa sahau
Tatizo siyo ndoa, tatizo yule unayetaka kuishi naye. Je, yupo tayari? Kuna watu wameoana lakini ndoa zao hazijadumu hata mwaka wakaachana. Kuoa siyo ngono. Kuoa ni zaidi hata vile ujuavyo. Mbona wenzao wameolewa? yeye anashindwa nini? Wengi wa wanawake hapo wanabagua yaani wanataka mtu aliyejijenga tayari. Hao wote siyo bikira. Je, waliowatoa bikira wapo wapi? Kuna sababu nyingi nzuri zinazomfanya mwanamke aolewe. Watu mambo yao yakiwashinda ndiyo wanakimbilia kwenye makanisa kutafuta faraja. Nikimuona mwanamke anatafuta mwanaume kwa nguvu amuoe, huyo ni wa kukimbia sababu ndoa hutokea yenyewe. Mnakutana, mnapendana na kisha mnaoana.Hii hoja ipelekwe bungeni Ka makanisa hayataki.
Yaani wachungaji wanajifanya kukomaa watu wawe na ndoa moja halafu wanaombea wadada wapate waume, watawapata wapi wkt wanaume tupo few?
Mahali ni upuuzi! Ka vile tunauziwa mgegedo!
MisukuleKama inavyojieleza..
View attachment 1233174
Muongozo tafadhali. Mwenyekiti mpe Simple F microphone ana point ya msingi tafadhali. Asante.Wazazi wapunguze mahari nayo inakatisha tamaa mabaharia kuoa
Nimecheka balaaa! Mama kawa mlinziCha muhimu ni kupata tarakimu zake, juzi nimeona mtoto mmoja yupo vizuri hatari sema kuna mmama alikua ananitolea macho vibaya mno, niliishia kugeuza shingo kila nikigeuka yule mama ananitolea macho daah...
Kwahiyo mwanaume anayeomba hana makosa siyo??