Makamba, Mwigulu, Nape, Zitto na Ridhiwani fuateni nyayo za MO kwani tayari mna mitaji

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Niliowataja kwa kuwa wana umri Wa kupractice mambo waliyokuwa wanayaubiri wakiwa bungeni na wamepata umaarufu mkubwa ni vema wakaachana na vyeo vya kisiasa wakajikita kwenye biashara ili tuone uwezo wao Wa kuanzisha na kuendesha Mali ili nasie tufate nyayo zao.

Baada ya mafanikio yao wananchi hatuna budi kuwapa kura tena miaka ijayo kwani watakayoyaongelea yataleta ufanis mkumbwa kwa kuwa wameyapitia wanajua uchungu Wa kuwa mfanyabiashara au kuwa mkulima.

Nawapenda Kishimba na Msukuma kwani wao ndio wawakilishi wazuri Wa wananchi suruba nyingi wamezitia wanajua yaliyomo, sio story za Kingwangala na vijana mkajiaji wakati yeye miradi yake ibaendeshwa kwa nguvu za kuwa WAZIRI na mbunge, anataka MTU asiye na kitu akajiajiri.

Nimetoa mfano Wa MO kama kijana mpenda nchi yake kwani amejaza vijana wenzie kwenye viwanda kwa kutumia fursa aliyoipata, sasa anapaa kimataifa. Huyu MO akisema tu narudi bungeni haitaji kuonga wapiga kura, hata kwenye kura ya maoni anaweza pita bila kupingwa.
 
Mkuu ..Kuna Watu USA waliwaza kama wewe wakamweka Trump ..hivi sasa wanajuta..

Mpaka leo Watu walio wengi wanaamini mafanikio ni kuwa na maburungutu ya fedha.
Duh.!!
 
Hebu hariri hilo andiko ndugu, pia unayemtaja anaitwa Ridhiwani sio Riziwani.
 
sema hayo mawatu yemekula sana pesa za nchi hii wawaachie wenzao
 
Utaratibu wa sasa wa kuzeekea Bungeni sio vibaya tukaanza kuuweka pembeni. Ila jambo baya ni kuwa vijana hawana nyenzo za kukabiliana na hao wakongwe, mifumo inawapa faida wakongwe kuendelea kuhodhi majimbo.
 
Hao sasa hivi vichwa chini wasiguswe na Magu,sikilizia awamu hii ipite ,2025 watakuja na bwembwe

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Eti wanajuta kumpa nchi Trump

Nyie ndio wale wale mliokuwa mnasema Corona haina ubavu kwa mtu mweusi mara sijui kwny joto haitambi

Acheni kuleta story za kwny bodaboda
Mkuu ..Kuna Watu USA waliwaza kama wewe wakamweka Trump ..hivi sasa wanajuta..

Mpaka leo Watu walio wengi wanaamini mafanikio ni kuwa na maburungutu ya fedha.
Duh.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom