Makamanda Wvua Magwanda

Huko ccm anaenda kupata cheo gani au anakuwa mwanachama wa kawaida
 
Kinana angepata uhakika wa umati huo, angerudi kugombea ubunge Arusha. Tumeona picha ila tunajua mchezo uliofanywa mkaupata huo umati. Endeleeni kujifurahisha, mpaka Oktoba
 

siasa mchezo mchafu
 
kajamaa kenyewe kana afya mbovu mkono kama ubapa wa mwiko.Huko CCM kanafata shibe tu ngoja akale akishiba atarudi nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…