Makamanda wa chadema!!

Butundwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
303
Reaction score
52
jambo wakuu,, nimekuwa ni kifuatilia mikutano ya chadema inayo endelea mara nyingi katika kuhamasisha na huwa wanaitana makamanda swali langu ni hili hawa ni makamanda wa jeshi gani????
 
Hilo ni jeshi la makamanda wapuuzi lenye wapiganaji vipofu na wasiosikia. Haya makamandaaaaaaaaaaa.
 
Ona ulivyo ke###nge .eti jeshi gani . Haya tuambie Nchimbi anatibu hospitali gani huko kwenu.
 
Wa kuvaa gwanda tu na kulewa gongo.
 
jambo wakuu,, nimekuwa ni kifuatilia mikutano ya chadema inayo endelea mara nyingi katika kuhamasisha na huwa wanaitana makamanda swali langu ni hili hawa ni makamanda wa jeshi gani????

La wezi wa magari.
 
Makamanda wa kuwadanganya wananchi wao au wafuasi wao walete fujo ili wauawe ilhal wao wamakula bata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…