Chadema wanatakiwa kuongeza bidii maana siyo majimbo mengi yaliyo na msimamo thabiti kama jimbo la Moshi.
Lile ni jimbo lililoelimika kisiasa. Wasilizembee na pia wasisahau kazi ngumu waliyonayo mbele yao ya kuwaelimisha na kuwaamsha wananchi kwenye majimbo mengine mengi sana nchini.