Unfortunately kwa individual, tax inakua kwenye sales.
Ukihamia kwenye entity ndio kuna kuondoa matumizi, cost, kodi ya pango na kila kitu.
Na hapa utajikadiria mwenyewe kwenye mfumo wa e-filing.
Ila kuna mengi ya kudeal nayo hapa.
Mhasibu, audit firm, kuandaa vitabu, proof za kila cost