Tushakizoea hiki chama cha kikanda yani badala waje moro, tabora wenyewe kila siku kwao 2! Alafu kesi ya lema wote hao wakina Mbowe waliishikia bango na kutoa matamko makali tena ya vitisho kwani lema ni mkanda mwenzao but kesi ya mpendazoe wamekaa kimya hata mbowe hajasikika akisema kitu bkoz mpendazoe sio mkanda mwenzao.
Kila la kheri chadema ya wabuguzi but zito kabwe alishawashtukia zamani ndio maana hawampendi.
Hiki chama sasa kimeshaonesha ishara zote za kukamata dola 2015.
Tushakizoea hiki chama cha kikanda yani badala waje moro, tabora wenyewe kila siku kwao 2! Alafu kesi ya lema wote hao wakina Mbowe waliishikia bango na kutoa matamko makali tena ya vitisho kwani lema ni mkanda mwenzao but kesi ya mpendazoe wamekaa kimya hata mbowe hajasikika akisema kitu bkoz mpendazoe sio mkanda mwenzao.
Kila la kheri chadema ya wabuguzi but zito kabwe alishawashtukia zamani ndio maana hawampendi.
Mh Godbless Lema aliwa omba wana Arusha na Wa Tz wote kuombea rufaa yake kwani anaamini atatinga mjengoni. LAKINI PIA WAKAZ WA arusha walitakiwa kuwa makini kwani kama rufaa ya Lema itatupiliwa mbali CCM Wanao mpango wa kumsimamisha Christopher Mwakasege kugombea ubunge Arusha mjini
. Nassari alisema Atatoa Amri ya kumzuia J.K Kukatiza Arusha kwani yeye Ni Raisi wa Arusha Na Lema ni Waziri Mkuu.
M4Change inahamia umasaini Rasmi baada ya michango iliyotolewa ku support
Mh Godbless Lema aliwa omba wana Arusha na Wa Tz wote kuombea rufaa yake kwani anaamini atatinga mjengoni. LAKINI PIA WAKAZ WA arusha walitakiwa kuwa makini kwani kama rufaa ya Lema itatupiliwa mbali CCM Wanao mpango wa kumsimamisha Christopher Mwakasege kugombea ubunge Arusha mjini
Kama Mwakasege anataka aibu aende Arusha, kumbuka sasa hivi watu tumekichoka chama, na siyo mtu. So hata kama akigombea Kikwete au yeyote unayemfahamu mwenye ushawishi, hawezi kushinda....nini Mwakasege bana!!!!!
yaani karne hii watanzania tumeacha mpaka wamasai ndiyo wanatuletea mabadiliko .... siamini .... wapogolo na walugulu wao maneno meeengi .... hongera sana wakombozi wetu wapya wa nchi hii "MASAI FOR CHANGE"
bravo morani, laibon, laigwanan, mama yeyoo na ndito wote
Tushakizoea hiki chama cha kikanda yani badala waje moro, tabora wenyewe kila siku kwao 2! Alafu kesi ya lema wote hao wakina Mbowe waliishikia bango na kutoa matamko makali tena ya vitisho kwani lema ni mkanda mwenzao but kesi ya mpendazoe wamekaa kimya hata mbowe hajasikika akisema kitu bkoz mpendazoe sio mkanda mwenzao.
Kila la kheri chadema ya wabuguzi but zito kabwe alishawashtukia zamani ndio maana hawampendi.
Una uhakika juu ya huyo mtu uliyemtaja hapo kuwa CCM wanampango wa kumsimamisha kugombea ubunge? Nashauri kuwa Kama huna uhakika futa kauli yako.
Nassari anahitaji kwenda taratibu; ajifunze kitu cha kwanza hekima!
CHADEMA ina kila dalili nzuri za kufanikiwa kuiondoa CCM,lakini iwe makini,ila wawe makini na hawa wauwaji wa kimya kimya! Hivi ile ya mwenyekiti wa CHADEMA Usa River imeishia wapi? Alafu bado wasimpe Ole Milya nafasi za juu katika Chama,mpaka kweli wapate uhakika kwamba,Milya amebadilika. Atakate kabisa!
sio kauli yake hiyo; kaeleza kilichosemwa mkutanoni ambacho nami nilikuwepo nikakisikia!
Wakinga tupo nyuma tunamipango mathubuti...tunachinja gamba 2015 makete mchana kweupe....huyu jama Eng wetu aliye pewa unaibu na JK juzi akusanye hela za mwisho