Mau
Senior Member
- Apr 8, 2009
- 176
- 10
Jamani wana JF kabla hujasoma thread hii fumba macho kwa sekunde kumi na tano uwaombee waliotutoka mwezi uliopita na umuombe mola akulinde mwezi huu unaoanza wa july
Katika sala yako wakumbuke
Michael Jackson (USA)
Nasma hamis Kidogo(Tz)
Sheikh Sulleiman Gorogosi(Tz)
Omar Bongo (Gabon)
Haroub Othman (ZNZ)
Wahanga wa Ndege (Airfrance) (BZ)
na nyingine iliyoanguka comoro (CM)
Katika sala yako wakumbuke
Michael Jackson (USA)
Nasma hamis Kidogo(Tz)
Sheikh Sulleiman Gorogosi(Tz)
Omar Bongo (Gabon)
Haroub Othman (ZNZ)
Wahanga wa Ndege (Airfrance) (BZ)
na nyingine iliyoanguka comoro (CM)