Majogoo wa Asili Aina ya Kuroiler Wanauzwa

Majogoo wa Asili Aina ya Kuroiler Wanauzwa

Joined
Feb 18, 2013
Posts
47
Reaction score
14
Majogoo wazazi wa asili aina ya kuroiler wanauzwa Sinza Dar es Salaam, wana uzito wa kuanzia kilo mbili 2 na kuendelea. Bei ni nzuri sana Tshs 15,000 kwa kila jogoo na wapo idadi ya kutosha.

Kwa mawasiliano tafadhali piga simu +255 713 948 205.

Karibuni.
 
Naomba kujua sifa za hao majogoo.
Na wanapatikana wapi?
Sifa za Kuku aina ya kuroiler ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuhimili misuko suko ya magonjwa. Majogoo hawa wanafaa kwa kufuga au kwa kuliwa moja kwa moja, na pia nyama yake ni tamu sana.
majogoo hawa wanapatikana Dar es Salaam, Sinza , Mtaa wa juma Ikangaa ( karibu na Kivulini Bus Stop/ mkabala na Mlimani city conference centre)

Hata ukihitaji idadi kubwa kama majogoo 100, 200, 500 na kuendelea waweza kupata.
 
Back
Top Bottom